Mawardat
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 25,900
- 136,567
Si upo na Uzi kule jukwaa la c/b,,,sasa bizo habari mpya uwage unajazia kule kwenye zile nyuziNambie dyadyaa![]()

Wengine insta hatuna zaidi ya jf tu

Si upo na Uzi kule jukwaa la c/b,,,sasa bizo habari mpya uwage unajazia kule kwenye zile nyuziNambie dyadyaa![]()


Ngoja nijaribuuu hapa.Yeah sio kwa mambo anayoweka
Jaribu tuone kama itafunguka
Tabia ya pacha wa wale hio!!Tabia mpya hiyo naiona
Ni watu wa matukio
Na lazima wakuachie chatta yao (mtoto)
Usku mwema maana hauhitaj yakwako tyuWeka hapa hapa bhana.
Wee bas usijar, yaan ndo nahangaika kuingia kwenye APP ili nikauzoe vizuri huu umbeaa, nimwage codes tyuuh.Si upo na Uzi kule jukwaa la c/b,,,sasa bizo habari mpya uwage unajazia kule kwenye zile nyuzi
Wengine insta hatuna zaidi ya jf tu![]()
Wee muongo lol.Usku mwema maana hauhitaj yakwako tyu
Hatuwawez wapi nyie,,usemage tyuuh huwawezi, viwango huna,
Dent wa COET mchezooo, tunawezana wenyewee, mtuacheeee.

Duh sio poaTabia ya pacha wa wale hio!!
Itapendeza sana,uzi utakuwa unadumuWee bas usijar, yaan ndo nahangaika kuingia kwenye APP ili nikauzoe vizuri huu umbeaa, nimwage codes tyuuh.

Miaka 21 hongera sana😀Miaka 20na...... Siku kama ya/tarehe leo mida kama hii nilikuwa natimiza masaa matano Duniani![]()
HbdayMiaka 20na...... Siku kama ya/tarehe leo mida kama hii nilikuwa natimiza masaa matano Duniani![]()
Ndio vinini hivi?? Tangu mchana naona ona tu COET NIT TIA CBE SUA UDOM MU UDSM MUHAS Kwani mavitu gani haya ! Nielewesheni namie!Hatuwawez wapi nyie,,
wadada wa coet maharage mabichi, maji robo kikombe unachemsha hata na mshumaa na yanaiva
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Thanks sisterHbday

Kwenda huko, mnavyoogopa sasa hata kuwasimamishaa.Hatuwawez wapi nyie,,
wadada wa coet maharage mabichi, maji robo kikombe unachemsha hata na mshumaa na yanaiva
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app





