Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😄😄😄😄 Mkuu usijali kama utakubaliwa tutakuunga maana tuna program tofauti tofautimni connect na mm basi niwe mjumbe kwenye hiko kikao
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
😄😄😄😄 Mkuu usijali kama utakubaliwa tutakuunga maana tuna program tofauti tofautimni connect na mm basi niwe mjumbe kwenye hiko kikao
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Hapo saa nne na dakika arobainijaman kanisani unaenda saa tano akiii ww binti ww
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
.Sina mb mdogo wanguMwalimu wangu wa upuuzi uzuri upo hapa unafanya supervision ya mwanafunzi wako 😁😁😁😁😁😁.. Fanya namba basi au nije maji yatagana au wewe badoo kuoga
Mkuu usijali kama utakubaliwa tutakuunga maana tuna program tofauti tofauti







Jaman jitahid uwahi mm kuwah Sabato nipo fasta sana Ila kusinzia lazima nisinzie sijui kwann nitakualika siku moja kanisani kwetuHapo saa nne na dakika arobaini
Nakuwa na mambo mengi ... Nashangaa shwah saa nne imefika .
Ila hapa shule yao sabato ndo naikimbia
Tupo wengi tunaofika mida hii
Mungu atusaidie.
Juzi alikuja mgeni akawa anashanga amepewa kuhubiri saa sita na nusu . Akawa anashangaa kwa nn wanachelewa hivyo kuanza ibada kuu
Alisuggest ianze saa nne .
Ndo maaana watu wanasinzia kanisani mtu aanze kuhubiri saa sita atamaliza saa nane kasoro hapo .
When 🤦🤦🤦what!!! 🙄😳🤔
Nina njaa ila loc haziruhusu 🤥Kwenye huu Uzi nani ananjaaa .. mbona nimepata mzuka wa kwenda kula chips kavu mayonaizi ila chips ziwe zimekaukaaa Sanaa na ka soda flani hivi 😋😋
Oyaaaa ehhHuwa napenda sabuni bafuni Kwa Depal ilianguka pale akigonoka kuokota Huwa na zoom basi tu.. hiyo kipande Cha kuangusha sabuni Huwa nanenepa.. so ukae tayari kuungwa tu![]()












huyu kijana pepo utaisikia tu 












Ah pole aiseeJaman jitahid uwahi mm kuwah Sabato nipo fasta sana Ila kusinzia lazima nisinzie sijui kwann nitakualika siku moja kanisani kwetu
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app
Acha nikale asee.. hapa mate yananitola tu, na hivi Leo sijatoka chumbani.. huenda nikapata na bahati.. badae video call kama kawaaa 😁😁😁Nina njaa ila loc haziruhusu 🤥
Bado mpka tarehe 30 July karibuAh pole aisee
Kuwahi nitajitahidi ila naona nimezoa kanisa hili na nimewekwa wakfu hapo hadi leo nasali hapo .
Nimeelewa wengine huwa wanahamisha ushirika kwenda kwingine .
Makambi mmefanya nyie ?
Nije Makambi labda
Mwamba umeshindikana mamaeewAcha nikale asee.. hapa mate yananitola tu, na hivi Leo sijatoka chumbani.. huenda nikapata na bahati.. badae video call kama kawaaa![]()











Kama sie
Unipigie uliweka vocha 🤣Acha nikale asee.. hapa mate yananitola tu, na hivi Leo sijatoka chumbani.. huenda nikapata na bahati.. badae video call kama kawaaa 😁😁😁
Unataka ya bei Gani sema tu.. ila unajua 😆😆Unipigie uliweka vocha 🤣
Watu na watu wao....Safi sana.Unataka ya bei Gani sema tu.. ila unajua 😆😆
Imagine .. anaokota sabuni unaona Nini 😁😁😁 na Ile miguu mizuri na kale ka rangu.. alafu taa Huwa ni full hapo.. acha badae tufaidi sie maisha ndio haya haya