Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,265
Kitambo sana mwanangu.Tupoooooo bado.
Hebu j3 mchana nitag nitakuwa na neno...sawa ee
Kitambo sana mwanangu.Tupoooooo bado.
Nitafurahi sana. Nilijuaga wewe ni mzeeSawA ngoja niitoe
mie ukipata mainjinia fanya kunipasia hapa mie
!!!
Kasheshe nao sijui wanawapenda walimu Mungu wangu!!
Nataka kutotoa toto moja Jiniaz like daddy akee!!!







nna bahati ya kuwapata Ma Dr, Ccy Kuna zile njemba zinafanya Kazi mgodini yelewiiii.... Zile njemba zinazopandisha mizigo yao ile inasoma PPM kubwa kubwa yelewiiiii....Acha kabisa ccy






wee mbna umechachuka sanaaaaMe mwenyewe madaktari hapana aisehnna bahati ya kuwapata Ma Dr,
Ila aaaah sijawahi waelewa.
!! Kitu cha burundi cheusi tiiiiiiiii!!! Kitakua na joto balaa hiki






shougaaaa nimechekaaa kwa sautiiiiiii.
Hakika tena posts zako nilikuwa naziogopa ili nisimkwaze bobi kizee🤣🤣ety mzeee
![]()
Ayeeee nakwambia kweliwee mbna umechachuka sanaaaa
Hapo sasa sikilizia posa za vijana wanakuja jiandaeety mzeee
![]()
Hakika tena posts zako nilikuwa naziogopa ili nisimkwaze bobi kizee![]()



itakua nina mambo ya kizee
Avatar tuitakua nina mambo ya kizee
Wee acha kuvunga, pita naw hivi, ila hakikisha wallet inafunguka.Dr ni katikati ya kijana na uzee.... Ananukia mno amekaa kimchongo
Aagrrrr me hizo posa kwani nazitaka basiHapo sasa sikilizia posa za vijana wanakuja jiandae
Hee kwani we ni mti?Aagrrrr me hizo posa kwani nazitaka basi
Si ndo mchana unaokuja au? Ntakutag.Kitambo sana mwanangu.
Hebu j3 mchana nitag nitakuwa na neno...sawa ee
OkSi ndo mchana unaokuja au? Ntakutag.
Usijar.
Huyu amna kitu huyu mbwembwe nyingi tuWee acha kuvunga, pita naw hivi, ila hakikisha wallet inafunguka.