Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Sio mdauKalbu kunywa VODKA kama unatumia mwambie na mtoto wa shangaz akuje
Sio mdauKalbu kunywa VODKA kama unatumia mwambie na mtoto wa shangaz akuje
Coca na TTCL wapi na Wapi wee cuzoo nawe@cocastic huyu cuzoo wako mtawezanaaa kweli
![]()




tuwezane wapiiiii? Ashanishindwaa huyoooo.Vocha tuma hapa, khaaaahSisi huku ndo tunatumiaga ase,,tuma namba ako ya voda
Sweetie nilikua sijaiona hii komenti hakii nimecheka kama chizi hukuuu
![]()




Usinisemeshe nmekugaya Ile mbayaKiportableeeeeeh![]()
Huyu achana nae kabisa..... Huyu ni shemeji angu
Meme kama meme muaskal niliyetoka mafunzo juz nataka kukupa vocha ya peke yako tyu tena kwenye M-PESA afu we mtoto washangaz naomba unielewe





nimecheka mnoooo, khaaaah. Coca amekua mchoyo sana wa picha zake sikuhizi!!Usinisemeshe nmekugaya Ile mbaya
Haya nipeni maelekezo hayo nikalale zangu mie naona watu wa night shifts zao wameshaingia kazini ni wanabweka hatariiii huko nje!!
Wasijeniwangia nikiwa macho mie !





unaogopa wachawiiii??Hahahaaa... Siogopi hata mbona mie nishapigana nao live sikuhizi wananiogopa hatariii! Nina nina kama 3 years tangu niwabutue sikuhizi Hawanigusii wala kunisogeleaa!!!unaogopa wachawiiii??
Selfiiii kipenzi hujamuwekea selfii !!kwan dea?
Yani hataki hata kidg kila siku ananipangaCoca amekua mchoyo sana wa picha zake sikuhizi!!