Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,956
Hakuna kulala asubui itukutee eeeh
Hakuna kulala na machweo yatukuteee
Hakuna kulala asubui itukutee eeeh
Hayo maziwa utayalipia😂😂😂,cocastic Antonnia
Basi ety nesi kanikuta nmelala ananambia umelala wakati we upo hapa kwa ajil ya kumuangalia mgonjwa nkamwambia najua kilichonileta..... Ety ooh hauruhusiwi kulala wodini unatakiwa ukae hadi kukuche nkamwambia ww dada we ujui nmeshindwa vip niache tu na mambo yangu.... Ety kanuna kasema anakuja na Askari nashangaa kaingia doctor... Doctor mwenyewe anasema kama mgonjwa ameshalala na ww jipumzishe.... Nmeletewa maziwa na daktari sijui kayatoa wapi amenambia kesho nkitoka hospital niende kwake nkapumzike eeeh nkasema hapa sasa balaa lishaanza
Maziwa yenyewe yana maji mengi sio hata matamu..... Akinidai ntamjibu hvoHayo maziwa utayalipia![]()
Safiiii.... huyo nesi atavimba apasuke mbona!!,cocastic Antonnia
Basi ety nesi kanikuta nmelala ananambia umelala wakati we upo hapa kwa ajil ya kumuangalia mgonjwa nkamwambia najua kilichonileta..... Ety ooh hauruhusiwi kulala wodini unatakiwa ukae hadi kukuche nkamwambia ww dada we ujui nmeshindwa vip niache tu na mambo yangu.... Ety kanuna kasema anakuja na Askari nashangaa kaingia doctor... Doctor mwenyewe anasema kama mgonjwa ameshalala na ww jipumzishe.... Nmeletewa maziwa na daktari sijui kayatoa wapi amenambia kesho nkitoka hospital niende kwake nkapumzike eeeh nkasema hapa sasa balaa lishaanza
!!Safiiii.... huyo nesi atavimba apasuke mbona!!
Wee nenda tu kwa dokta nenda kamsamilie tu dear!!
asubui ikifika doctor ndo atajua me ni muhuni au vip.... Yani atajua ajui
Adui wa mwanamke ni mwanamkeSafiiii.... huyo nesi atavimba apasuke mbona!!
Wee nenda tu kwa dokta nenda kamsamilie tu dear!!
Exactly totoo!!! Hilo liko wazi mbonaAdui wa mwanamke ni mwanamke

!!kwanza dokta mwenyewe mzee mzee au yanki tu sweetie???Maziwa yenyewe yana maji mengi sio hata matamu..... Akinidai ntamjibu hvo
Ndio walivyoo mamy na ukikutana na nesi mwenye sitiresi zake ndio kama hivoo!!Ccy em fikilia hospital ya gvt tena private grade one wanaweka kakitanda kamgonjwa na kakiti kamoja.... Si kuumizana migongo huku
Wewe kalaleMwanza dokta mwenyewe mzee mzee au yanki tu sweetie???
Doctor sio mzee sio kijana.... Ila ananukia huyoMwanza dokta mwenyewe mzee mzee au yanki tu sweetie???



Tatizo ni kua sijui kisukuma kabisa yani naomba unambie na kiswahilUkisikia
Shokagi kaya mghatole
Ndio namna hii
🤔🤔🤔🤔🤔 hapo ndio kabisaaa silali...hebu njoo uyashtaki saivi basi nakusubiria hapa 🙇🙇Wewe kalale
Nina mashtaka yako
Nitakusomea asubuhi
Katulize fuvu mwanawane
Kwa hyo sijui wanataka watu walale wamesimamaNdio walivyoo mamy na ukikutana na nesi mwenye sitiresi zake ndio kama hivoo!!
Khakhakhaaaa!!! kwa uzoefu wangu huyo nenda nae kwa step mamaa ukikaa vibaya anakupenya huyoo na ushaanza kumsifia manukato ohoooooo 😂😂🤣🤣🤣🤭!!Doctor sio mzee sio kijana.... Ila ananukia huyo![]()
Amekaa kimchongo kweli kweli.... Sema me madaktari hapana.... Me nataka wale wanaofanya kazi TRA peke YaoKhakhakhaaaa!!! kwa uzoefu wangu huyo nenda nae kwa step mamaa ukikaa vibaya anapita huyoo!!

nakuzingua bn ccy Antonnia
Love hebu selifika mama nikuone maana umemchanganya dr huko🤣Maziwa yenyewe yana maji mengi sio hata matamu..... Akinidai ntamjibu hvo