Selfika na JF: Snap it. Show it

Ile nafasi alosema Reymage naona unaikaimu vyedi sana sikuhizi!!🀣🀣🀣!!
Ripot zote anazo nishampa Kitambo sana!!!! πŸ˜‰
Jamani mnisamehe bure ndugu zangu leo nimetupia ginger ale zangu 3 kwa hiyo hii akili si yangu leo🀣🀣🀣🀣🀣🀣 ni ulevi...🀣😁🀣🀣🀣
 
Eti kasema nipo na lecturer, akati mie nipo na studiee mwenzangu.
 
Jamani mnisamehe bure ndugu zangu leo nimetupia ginger ale zangu 3 kwa hiyo hii akili si yangu leo🀣🀣🀣🀣🀣🀣 ni ulevi...🀣😁🀣🀣🀣
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣!!
Umefurahi kweli leo mwenyewe!!!
Hio furaha na idumu mileleee na milele daimaaaaaa ....

Amen!πŸ™
 

Hapo Pa Lecturer sasa, kanikimbiaaaa.
Mlongo wewe ndo umenifundisha haya mambo ya umbeya unaona sasa na mimi nineanza kuiga nyendo zako hadi nimetaka kuandika uzi🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Mimi nilidhani bado upo na lectuler hotelini mnapiga mizagamuo ya kufa mtuu🀣🀣🀣🀣🀣🀣
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣!!
Umefurahi kweli leo mwenyewe!!!
Hio furaha na idumu mileleee na milele daimaaaaaa ....

Amen!πŸ™
Amen madam
Yaani nilidhani nakukwaza
Na kama nimekukwaza na mwingine yeyote mnisamehe tuu kweli, au akitokea mwingine kakwazika nisaidie kuniombea msamaha tafadhali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…