Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,290
☝️☝️👆👆👆 Dakika sifuri nafuta!Kabisaa😂
☝️☝️👆👆👆 Dakika sifuri nafuta!Kabisaa😂
Jamaa kakuona unataka kumpiga picha
Jamanii!! Imekaa sana mbona!Umeweka? Duh, weka tena sitoki hapa
Rudia please.Jamanii!! Imekaa sana mbona!
Ewaaaaa😍Wameshajaaa nimebadili.. Ile ilikua hooottttttt 🔥 🔥🔥🔥
Haya barikiwa nahio mkuu
Uko vizuri. Kwenu wapi ukokwetu shughuri kuu ni kilimo, sahivi hapa kule kwetu ndo wanavuna mpunga,
Ktk kilimo cha mpunga, sipendi kupandikiza na Kung'olea, hssa ukute dimba lina luhanu mbna utalia chozi,
Zinawasha hataree, afu sasa, liwe linawaka jua luhanu linaparaza na majimaji ya dimbani yakigusana kuchanganya na joto, sikiliza muwasho wake hapo, utatafutana.
Nshalima sanaaa.,
Pamebarikiwa mnooooooo!!Morogoro kumebarikiwa.
Kilombero miwa.
Ifakara samaki na ndizi.
Ulanga maharage.
Nimepamiss mahenge.![]()
Wee...ushawahi kulima dogo??kwetu shughuri kuu ni kilimo, sahivi hapa kule kwetu ndo wanavuna mpunga,
Ktk kilimo cha mpunga, sipendi kupandikiza na Kung'olea, hssa ukute dimba lina luhanu mbna utalia chozi,
Zinawasha hataree, afu sasa, liwe linawaka jua luhanu linaparaza na majimaji ya dimbani yakigusana kuchanganya na joto, sikiliza muwasho wake hapo, utatafutana.
Nshalima sanaaa.,
AmeenNami Siku zote nitaimbaaaaa kwamba
Yesu ni bwaaaaaaaaaa
Kusema kweli yesu ni bwanamaishani mwanguuuuu
Na siwezi jizuiaaaaa kusema wako wemaaaa
Wishing you an ameizing and enjoyable Sunday wapendwa
Stay blessed!!
Asanteeee kipenziiii. Na iwe kwako piaaNami Siku zote nitaimbaaaaa kwamba
Yesu ni bwaaaaaaaaaa
Kusema kweli yesu ni bwanamaishani mwanguuuuu
Na siwezi jizuiaaaaa kusema wako wemaaaa
Wishing you an ameizing and enjoyable Sunday wapendwa
Stay blessed!!

Asante Bosi Ledi. Nipo!Le prof Shimba ya Buyenze nakusalimia mkuu miss you kimimiii!!
Kimya sana msukuma!!


