Nimeamka salama kabisa mzungu wetu, namshukuru Mungu
Hofu kwako madam
Hofu kwako madam
Boss mjep habari ya asubuhi
Boss mjep habari ya asubuhi
Nimeamka salama sana siku ya leo boss wanguNimeamka salama chief
Wewe umeamkaje mkuu wangu?
Mimi mzima kabisa sis sijui wewePoa dear vipi mzima ?
TobaaaaMmh msaada wa Google translator
Ila wanatafsiri vibaya
Tumbo la chini: Kitovu na eneo la chini ni eneo nyeti sana, kichukue polepole hapa unapotembeza vidole vyako kwenye kitovu na chini. Sogea chini polepole na kwa upole lamba kitovu na usubiri milio ya raha.
Mweh English haitishi hivyo![]()







Mungu ni mwema boss tumeamshwa salama kabisaaNimeamka salama kabisa mzungu wetu, namshukuru Mungu
Hofu kwako madam
We hebu niacheLower part of the abdomen lina raha yake likiguswa aisee embu nifafanulie vizur hapa Dr binti pekee mwenye miaka 20
Sent from my SM-G935T using JamiiForums mobile app





Ehee, ukimjua mchawi na ww mchawi

. We si umesema mi nimetoka guest, jirani?Ngoja nichukue note book na kalamu kwanza madam, subiri kidogo......Mmh msaada wa Google translator
Ila wanatafsiri vibaya
Tumbo la chini: Kitovu na eneo la chini ni eneo nyeti sana, kichukue polepole hapa unapotembeza vidole vyako kwenye kitovu na chini. Sogea chini polepole na kwa upole lamba kitovu na usubiri milio ya raha.
Mweh English haitishi hivyo![]()
Nipo poa piaMimi mzima kabisa sis sijui wewe
Nafurahi kama uko salama mremboMungu ni mwema boss tumeamshwa salama kabisaa
Mweh hizi mbwembwe tu hakuna somo hapoNgoja nichukue note book na kalamu kwanza madam, subiri kidogo......
Hili somo limeanzia wapi sijui
Nitaanza kupenda wenye vitambi aiseeWe hebu niache
Sipo na miaka 20 mie
Sasa hutupendi wenye vitambi haya utayajulia wapi![]()



Kha kisa mkasa


Haya bana nimekumicEhee, ukimjua mchawi na ww mchawi. We si umesema mi nimetoka guest, jirani?
Hahaha nimecheka aisee uwaache viportable wewe





Jaman boss kutiana majaribuni sasa unataka unifukuze kazi tajir wangu
Miss you too
Naacha aisee kumbe Kuna watu wanapata raha hvyo hamsemiiHahaha nimecheka aisee uwaache viportable wewe![]()
Makubwa ya jongo aisee![]()