Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,453
Asee ,si mchezo mtoto wa kiislamu full baibuiHawachi, Zurri na ndugu zangu wengine katika imani.
Maulid inakaribia..tusisahauliane jamani kualikana.
Allah atupe wepesi tuifikie In sha'Allah.View attachment 1255319View attachment 1255320
Hawachi, Zurri na ndugu zangu wengine katika imani.
Maulid inakaribia..tusisahauliane jamani kualikana.
Allah atupe wepesi tuifikie In sha'Allah.View attachment 1255319View attachment 1255320
hii ni kwa ajili ya wasafiri tu mama maana kusafiri siyo hobby ya kila mtu lakini mimi safari fupi sipendi,, nawaza kuenda kuomba ajira tazara niwe staff wa kwenye train ili niwe nasafiri karibu kila wiki..
Yesu wangu.
Kweli Mimi kusafiri sio hobby yangu.
Muda wa safari ukifika nawaza Sana Maana homa huwa inanibana angani.
Natamani ningekua nasinzia tu na kujikuta nimefika.
Huwa najitahidi kulala safari nzima unakuta Hadi mhudumu ananifwata kuniuliza Kama naumwa.
Namjibu nipo sawa tu.
Hahahaaa nimecheka sana peke anguYaaniii wewe hunaga utani kabisaa jamani!!
Ati ufanye utani na mabakabaka?!! Niogoha
Hunaga utani kabisaa...Hahahaaa nimecheka sana peke angu
eti sinaga utani kabisa.
Wadogo kuliko neno lenyeweKwani wewe na karma Ni wadogo?
Asalaam AleykumHawachi, Zurri na ndugu zangu wengine katika imani.
Maulid inakaribia..tusisahauliane jamani kualikana.
Allah atupe wepesi tuifikie In sha'Allah.View attachment 1255319View attachment 1255320
Walaikum salaam warahmatu'allah wabarakatAsalaam Aleykum
Yesu wangu.
Kweli Mimi kusafiri sio hobby yangu.
Muda wa safari ukifika nawaza Sana Maana homa huwa inanibana angani.
Natamani ningekua nasinzia tu na kujikuta nimefika.
Huwa najitahidi kulala safari nzima unakuta Hadi mhudumu ananifwata kuniuliza Kama naumwa.
Namjibu nipo sawa tu.
Wadogo kuliko neno lenyewe
Ndio John DumeloDumelo
Kwani wewe na karma Ni wadogo?
Hahaha...Moto... Lakini mvua inakunya mbaya
Natamani ningekuwa na huo uwezo nipandage zangu ndegeSasa wewe safari ya ndege tu unachoka?? Wakati wengine tunatamani hata ndege zipate hitilafu ili safari iwe ndefu??
Kuna dereva mmoja wa shuttle kule mbeya alinisimulia walipanda fast jet kutoka dar kuenda mbeya wakafika mbeya wakakuta mvua kubwa inanyesha wingu zito limetanda anga haliko shwari hivyo hawawezi kutua
Rubani akaambiwa arudishe ndege dar wakalale dar watarudi mbeya kesho kwa ticket zile zile na hakutakuwa na gharama zozote za ziada labda sehemu za kulala kwa siku hiyo ndiyo abiria wangejitegemea
Nasikia wakarudi dar kesho yake wakaanza tena safari kuenda mbeya ndiyo wakafika salama,, nikasema looh mimi mbona na kusafiri kwangu kote na ndege sijawahi kukutana na kadhia kama hizo jamani ili safari iwe ndefu maana dar mbeya lisaa limoja tu mmefika sipendi mimi..
Mbona mabano, unaogopa nini?
And yo my ( )!!!!