cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,286
Wallah.yallah
Sema mie nazipenda mbichi afu nizichemshe na maganda.
Au km zilizokaushwa hivyo, bas nazikaanga.
Wallah.yallah
Hahha nipo poa vipi wewe ndugu ?Dogo langu
Uko poa
(Usithubutu kuniita kaka)![]()
AiseeUnaniita kaka na kunisalimia shikamo unataka kuninyima nini?
Usitengeneze uzibe wa kushindwa kuomba kikojoleo chako mkuu
Anyway!!Mahaba Hujambo
Ile picha yakonimecheka khaaahatarii
![]()
Wallah.
Sema mie nazipenda mbichi afu nizichemshe na maganda.
Au km zilizokaushwa hivyo, bas nazikaanga.


Ulisema pale ruhuwikoKwa hisani ya........View attachment 2290828

DuhUsikumwema selfika fam![]()

Utazikuta hizo za kuchemsha naonaga pale shule ya Tanga wanauza,
Nilinunuaga za jero mweeh muuzaji si akaniomba nimgawie ale nilizonunua![]()







nimecheka mnoooo. Hahahahaaaa...Wigeee nyie !!🙌🙌🙌🙌🙌Sasa itakuwaje
Majeshi kwa bosi ledi
Ama kwa hii 682 Iveco
Mkasi juu mkasi chini![]()
Hahahahaaaa...mkongo usikie TU kwa Mwenzio usiombe ukutane nao!!😉 🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️🚶🏼♀️Wanaogopa mkongolaa![]()
SawaBoss lady amenimwaga sasa natafuta single lady chief
Unaenda makaa ya maweUlisema pale ruhuwiko
Halafu nakatiza wapi
Naelekea Kitai
,JP ndio nani wee wige acha kunichekesha mie!!😉😉🤣🤣🤭🤭Sawa
Ni muelewa hana tabu
Ila JP ndio mshindani wako
Kaza buti
Abeeeeeee Dr!!
Ndugu tenaHahha nipo poa vipi wewe ndugu ?
Habari ya siku nyingi ?
