Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nimecheka mnoooo.
Afu nimemic mangatungu alooooh.
Mangatungu sijayala kitambo sana

Mwenzangu nilipigwa na bumbuwazi,,akaanza kulalamika oooh chakula hawanyimi dada,nikamuuliza inamaana nikugawie hizi karanga??

Akasema ndiyo,

Nikampa agawe,
 
Mangatungu sijayala kitambo sana

Mwenzangu nilipigwa na bumbuwazi,,akaanza kulalamika oooh chakula hawanyimi dada,nikamuuliza inamaana nikugawie hizi karanga??

Akasema ndiyo,

Nikampa agawe,
kuuza auze yeye, atake tena kugawiwa, anaona ubakhiri kuchukua kula, khaaaah noumaaaah
 
Ndio wapi

Nipe maelekezo
FB_IMG_16578318037883020.jpg
 
Back
Top Bottom