cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Khaaaah kumbe, ndo wee Sir I? Aseeeeh ukinipa tena B km semester iloisha, nakuja ofisini kwako usahihishe nikiwepo na mie.Tulia weweView attachment 2290360
Wallah.
Khaaaah kumbe, ndo wee Sir I? Aseeeeh ukinipa tena B km semester iloisha, nakuja ofisini kwako usahihishe nikiwepo na mie.Tulia weweView attachment 2290360
Wanakula pesa mnooh, kuna bursar m1 wakati niko o level alinituma kitu ofsini kwake, afu kwa droo, wee kufungua hivi, nakuta nyeku nyeku zimejipangaaa za kushato, daaah bila upako nahisi shetie angenishawishi kuvuta kamojaa.Hasa shule zenye wanafunzi wengi!!






Ndoivoooo ...huwa wanazipanga tu kwenye madrooo yao!!!Wanakula pesa mnooh, kuna bursar m1 wakati niko o level alinituma kitu ofsini kwake, afu kwa droo, wee kufungua hivi, nakuta nyeku nyeku zimejipangaaa za kushato, daaah bila upako nahisi shetie angenishawishi kuvuta kamojaa.
![]()
Kama kazikusanya kwa hiyo siku waga kuna watu wa mahesabu wanakuja kuzipitiaWanakula pesa mnooh, kuna bursar m1 wakati niko o level alinituma kitu ofsini kwake, afu kwa droo, wee kufungua hivi, nakuta nyeku nyeku zimejipangaaa za kushato, daaah bila upako nahisi shetie angenishawishi kuvuta kamojaa.
![]()
"alinigea" wee ni mtu wa bondeni karibu na msumbiji? Maana ndo tunasema "alinigea" maana ya ali
una movie zipi mkuuTulia weweView attachment 2290360
Karibu jijini nkamuFrom Zenji to Arusha
July is for kuzurula
Uwa natumia netflix wana movies nyingi snuna movie zipi mkuu
nigaie password yako ya netflix 😅😅🔥🔥Uwa natumia netflix wana movies nyingi snView attachment 2290391
Una vituko snKhaaaah kumbe, ndo wee Sir I? Aseeeeh ukinipa tena B km semester iloisha, nakuja ofisini kwako usahihishe nikiwepo na mie.
Wallah.



za kikorea hupendi?Uwa natumia netflix wana movies nyingi snView attachment 2290391
Picha baadae baadae ticha..Nami pia sijakuona kitambo Dr!!
Worry outnigaie password yako ya netflix![]()

Napenda American movies tuza kikorea hupendi?
Ooh I seeNapenda American movies tu
Wanafaidi mnoo.Ndoivoooo ...huwa wanazipanga tu kwenye madrooo yao!!!
Wee kumbe??Kama kazikusanya kwa hiyo siku waga kuna watu wa mahesabu wanakuja kuzipitia
Ungonini pia tunasema hivyo Alinigea.alinigea inatokana na alini-givetho mie mnyamwezi




Una vituko sn![]()



akati ni kweli, wee fikiria masikhara tyuuh.