Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hasa shule zenye wanafunzi wengi!!
Wanakula pesa mnooh, kuna bursar m1 wakati niko o level alinituma kitu ofsini kwake, afu kwa droo, wee kufungua hivi, nakuta nyeku nyeku zimejipangaaa za kushato, daaah bila upako nahisi shetie angenishawishi kuvuta kamojaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wanakula pesa mnooh, kuna bursar m1 wakati niko o level alinituma kitu ofsini kwake, afu kwa droo, wee kufungua hivi, nakuta nyeku nyeku zimejipangaaa za kushato, daaah bila upako nahisi shetie angenishawishi kuvuta kamojaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndoivoooo ...huwa wanazipanga tu kwenye madrooo yao!!!
 
Wanakula pesa mnooh, kuna bursar m1 wakati niko o level alinituma kitu ofsini kwake, afu kwa droo, wee kufungua hivi, nakuta nyeku nyeku zimejipangaaa za kushato, daaah bila upako nahisi shetie angenishawishi kuvuta kamojaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kazikusanya kwa hiyo siku waga kuna watu wa mahesabu wanakuja kuzipitia
 
My country pipo [emoji23][emoji119][emoji23][emoji119]
Screenshot_20220704-190451.jpg
Screenshot_20220704-185548.jpg
Screenshot_20220704-184805.jpg
Screenshot_20220704-185721.jpg


Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • Screenshot_20220704-184741.jpg
    Screenshot_20220704-184741.jpg
    30.7 KB · Views: 10
Back
Top Bottom