Watu wengine mnajikutaga sana, sijui mna nini! Wakiitwa watu wa Nene na wewe uende? Acha mambo yako....punguza mikogo. Wewe siyo mnene wala siyo mwembamba kwahyo tulia ila kama unataka kuwa kama mange kimavi nenda kanywe madawa ya kukonda uwe skeleton kama huyo..