Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Jf inasumbua nawadaiz application kaa
Ndugu yangu ulikuwa wapi sijui, nilipata mualiko sehemu nami nikaoga, nikatinga suti ya urithi, nikaomba nipigwe picha, nikuletee, nikaja nayo, sikukuona, nimeihifadhi kabatini.

😂 😂
 
So hapa inabidi aende RITA ya dar? Kuprocess cheti upya? Sasa shida kadi la clinic nalo lina wrong middle name.



Mm vyeti vya shule vina majina mawili ‘langu na surname na . Debora Laswai

Ila nssf
Bank
Kazini
Nida
Cha kupigia kura … kuna ma3 (Debora Paul Laswai

Cha kuzaliwa tena hiki kina manne 🤣
Mf Debora Paul Laswai Patrick

Sitokuwa na shida huko mbeleni??
RITA ya Popote pale hata huko kwenu sio hadi Dar!!
Wewe nenda Huko RITA watakuelekeza cha kufanya! Kama sio cha mtoto mdogo Sehemu kwingine sio lazima awe na kadi sijajua huko kwenu!
 
Back
Top Bottom