cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,173
AaahAsante mkuu Tatizo hio naiona kubwa sana sie ndizi tunakula mara moja moja sana!!
Shouzzzzz afu suprise nasubiri, ukasema niwe mpoleee.!!!
Usiwaze kabisa!!




, fanya fanya
Angalia watu na msosi ni kitu ingineNapita kudowea kwa watu.![]()
Huo mkungu uliosimama mwazo kabisaaa. Afu pika mtori mwayaaa.Wajuvi nichagulieni ndizi laini laini tamu isiyoiva mapemaa!l![]()
Shouzzz nimechagua hapooo, huo mkungu mkubwa na mrefu na wa mwanzo uliosimama.





Najua shos usiwaze!!😘Shouzzzzz afu suprise nasubiri, ukasema niwe mpoleee.
, fanya fanya
Sawa shos akee huo utakula hadi ukuivie hahahaha!!Shouzzz nimechagua hapooo, huo mkungu mkubwa na mrefu na wa mwanzo uliosimama.![]()
Ukakimbizwakwan??
Santo sana..mtori sasa nahii alergy!!🤭🤭Huo mkungu uliosimama mwazo kabisaaa. Afu pika mtori mwayaaa.
Sasa unataka upikaje? Mchemsho? Au futari?Santo sana..mtori sasa nahii alergy!!![]()
Kijana Bachelor anaeza kualika ukale kwake akukule na mpishi!!😂😂🤣Angalia watu na msosi ni kitu ingine
Weraaaaaah weraaaaahSawa shos akee huo utakula hadi ukuivie hahahaha!!





Mchemsho wa samaki shos!!Sasa unataka upikaje? Mchemsho? Au futari?
Ukakimbizwa





, hivi ninaye kuhisi ni wee au. Niko wrong? Oooooh hapo sasa vyedi, nikajua unapika ndizi tupu, nikasrma mbna zitakua na uchachu uchachu.Mchemsho wa samaki shos!!
Ni kukaa kwa kutulia sana saivi ., hivi ninaye kuhisi ni wee au. Niko wrong?
Maan sikuelewi, hii Selfika sahivi ni kichaka