Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Ndo mwaliko wenyewe huo mkuuMwaliko huo vipi
Msosi ni kitu kingineNoma nanusu!!
Sikukuu keshoHii sikukuu lini Kwani mbona hatualikani nyie waislamu!!!![]()
Wapi sasa nijeNdo mwaliko wenyewe huo mkuu
Ukipata mialiko miwili fanya kunipasia mmoja asee pilau la kualikwa tamu bana!! !!Wewe subiri mimi nina deshi mpaka sasahivi
Mwanza.... IsamiloWapi sasa nije
Acha wewe usiwazeUkipata mialiko miwili fanya kunipasia mmoja asee pilau la kualikwa tamu bana!! !!
Ww lazima nkualike dada mkubwaUkipata mialiko miwili fanya kunipasia mmoja asee pilau la kualikwa tamu bana!! !!
Asante mamy!Sikukuu kesho

Dah nisha miss tayariMwanza.... Isamilo
Poa poaNasubiria hapa![]()
Shukrani sana mdogo Wangu najiandaa asee!!Ww lazima nkualike dada mkubwa
Sawa love karibuAsante mamy!![]()

Basi ya next year utakuja tukijaaliwa uzima.... Au hata ChristmasDah nisha miss tayari
Shukrani sana mdogo Wangu najiandaa asee!!
sawaMajuzi nilikua huko...nimeshamiss wale sato walai😋😋😋Dah nisha miss tayari
Sawa nakungojaShukrani sana mdogo Wangu najiandaa asee!!