Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,149
- 28,859
Whabeja sanaSijambo Mkuu!
Whabeja sanaSijambo Mkuu!
Selfika kidogo mkuu sijakuona kitambo sana!!Whabeja sana
Subiri nikiamka,bado nipo kitandani😜Selfika kidogo mkuu sijakuona kitambo sana!!
Jamanii mbona ivo!!😌😌😌!?Subiri nikiamka,bado nipo kitandani😜
Selfika basi,nimekuona muda piaJamanii mbona ivo!!😌😌😌!?
Basi sauwaa!!
Zingekua ndefu sana na tungekupa aka sababu ya komwe😂Alianza kunambia tokea naenda chuo,, huku tena akanikumbushia..
Ningemsikiliza sahivi ningekuwa mbali sana, pia ningekuwa nishakomaa uso sana 🤣 komwe lingekuwa limekuwa afu limekuwa tena 😂😂😂
Nahisi vile wanavyovutwa, nywele inarudi nyuma sijui.. komwe linaanza kuota
Enzi hizoo 🤣🤣 ‘kwahiyo mimi hunitumii picha? Au mpaka tuhamie wasap 😝😝Enzi za mwalimu😍
Ila usije kusuka aisee, low cut ndio chata lako milele.
Very biurifooo 😘
Anza wewe niliekuwahi kwanza!Selfika basi,nimekuona muda pia
Mimi nakuahidi nikiamka nitaselfikaAnza wewe niliekuwahi kwanza!
Nasubiria wewe uweke kwanza!Mimi nakuahidi nikiamka nitaselfika
Sawa ..Nasubiria iweke wewe kwanza!
Nitamfikishia salamu zako,Msalimie sana bibi 😘😘 mwambie nimemmiss mno..
Ukulima mwema huko shamba babu mzuri
Nasubiria!Sawa ..
Unaamka saa ngapi ili tuwe standbyMimi nakuahidi nikiamka nitaselfika
😁😁 ingekuwa balaaZingekua ndefu sana na tungekupa aka sababu ya komwe😂
Ni wanavuta balaa, hapo maumivu ya kichwa kama yote. Sema ndio hvyo mapenzi ya mtu
Eeh sasa mtu anakusuburia ndio nnKm WhatsApp
Vp hujambo lkn mtoto mzuri
Hii salamu imenirudisha mbali Sana kifikra "vipi wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu"niko poa kabisa, vipi wewe uliye mbali na upeo wa macho yangu