Emu tuone ulivyokuwa hoiLow cut+ dimples = mimi Hoi
Ongeza bleach katikati ya nywele
Nimeshindwa kuamka hapa kitandani na hili baridiEmu tuone ulivyokuwa hoi
Wewe hauna Komwe hata ukiweka zikavutika nyuma kichwa chako kiko vizuriKwa huku nilipo kuwa rasta ni very easyafu ukijumlisha niko na mashost wa3 wana rasta…
Na mama angu anavyozipendaananiambia weka mtoto
Namwambia weka wewe
Anasema mimi na umri huu?![]()
Nilinusurika march kuziweka,, naona sitoweka tenakwanza ukiweka unakuwa na komwekubwa
Weeee 😂😂😂 niache hivyo hivyoOngeza bleach katikati ya nywele
Hishoria mujarab kabisaSure!
Siku kuu hii mpaka inakuwa ya wafanyabiashara kwa kweli tumetoka mbali.
-7 july kuzaliwa kwa tanu 1954, hapa ndipo ilizaliwa saba saba.
-1963 Saba Saba ikawa public holiday baada ya Tanganyika kuingia rasmi mfumo wa chama kimoja.
-1967 TANU inatangaza itikadi ya ujamaa kama siasa rasmi hapa Saba saba ikawa siku ya wakulima na wafanyakazi.
-1977 CCm inazaliwa kwa muungano wa TANU na ASP saba saba inabadilishwa inakuwa siku ya wakulima.
-1992 mfumo wa vyama vingi unaingia na Tanzania inafuta siku kuu ya saba saba, 1993 inaanzishwa nane nane kama siku kuu ya wakulima.
-1994 kunatokea sintofahamu mara baada ya baadhi ya wafanya kazi kutofika kazini kwa kuendelea kusheherekea siku ya saba saba.
-Baadae serikali inairudisha tena saba saba kama siku kuu ya wafanya biashara.
Tumetoka mbali sana kwa kweli.
Weka bana... cocastic unaonaje Depal akaweka bleach katikati ya kichwa?Weeeeniache hivyo hivyo
Hapana jamani 😂😂😂nitakomaa usoWewe hauna Komwe hata ukiweka zikavutika nyuma kichwa chako kiko vizuri
Aisee..Saba Saba dayView attachment 2283152
Mama ametisha😂😂Kwa huku nilipo kuwa rasta ni very easy 🤣 afu ukijumlisha niko na mashost wa3 wana rasta…
Na mama angu anavyozipenda 😂 ananiambia weka mtoto 😋😋
Namwambia weka wewe
Anasema mimi na umri huu? 🤣
Nilinusurika march kuziweka,, naona sitoweka tena 😆kwanza ukiweka unakuwa na komwekubwa
Enzi za mwalimu😍
Alianza kunambia tokea naenda chuo,, huku tena akanikumbushia..Mama ametisha😂😂
Anakupa full support
Hahahaaa hivi kwanini rasta zinasababisha komwe lakini.
Kuna ndugu yangu yuko huko alikua na rasta zikawa ndefuuuu ila komwe sasa😁
Kazikata last yr saivi komwe limepungua anaonekana mbiurifooo
Sijambo Mkuu!Jambo mahondaw wa zamani ?.Antonnia wa sasa
Msalimie sana bibi 😘😘 mwambie nimemmiss mno..Kawaida asubuhi lazima nivute Kiko yangu kabla sijaanza shughuli za shamba 🤗
Marahaba Mjukuu, Bibi yako anakusalimia sana