Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa huku nilipo kuwa rasta ni very easy afu ukijumlisha niko na mashost wa3 wana rasta…
Na mama angu anavyozipenda ananiambia weka mtoto
Namwambia weka wewe
Anasema mimi na umri huu?


Nilinusurika march kuziweka,, naona sitoweka tena kwanza ukiweka unakuwa na komwekubwa
Wewe hauna Komwe hata ukiweka zikavutika nyuma kichwa chako kiko vizuri
 
Sure!
Siku kuu hii mpaka inakuwa ya wafanyabiashara kwa kweli tumetoka mbali.
-7 july kuzaliwa kwa tanu 1954, hapa ndipo ilizaliwa saba saba.

-1963 Saba Saba ikawa public holiday baada ya Tanganyika kuingia rasmi mfumo wa chama kimoja.

-1967 TANU inatangaza itikadi ya ujamaa kama siasa rasmi hapa Saba saba ikawa siku ya wakulima na wafanyakazi.
-1977 CCm inazaliwa kwa muungano wa TANU na ASP saba saba inabadilishwa inakuwa siku ya wakulima.

-1992 mfumo wa vyama vingi unaingia na Tanzania inafuta siku kuu ya saba saba, 1993 inaanzishwa nane nane kama siku kuu ya wakulima.

-1994 kunatokea sintofahamu mara baada ya baadhi ya wafanya kazi kutofika kazini kwa kuendelea kusheherekea siku ya saba saba.

-Baadae serikali inairudisha tena saba saba kama siku kuu ya wafanya biashara.

Tumetoka mbali sana kwa kweli.
Hishoria mujarab kabisa
 
Screenshot_20220707-084512.jpg
 
Kwa huku nilipo kuwa rasta ni very easy 🤣 afu ukijumlisha niko na mashost wa3 wana rasta…
Na mama angu anavyozipenda 😂 ananiambia weka mtoto 😋😋
Namwambia weka wewe
Anasema mimi na umri huu? 🤣


Nilinusurika march kuziweka,, naona sitoweka tena 😆kwanza ukiweka unakuwa na komwekubwa
Mama ametisha😂😂
Anakupa full support

Hahahaaa hivi kwanini rasta zinasababisha komwe lakini.
Kuna ndugu yangu yuko huko alikua na rasta zikawa ndefuuuu ila komwe sasa😁
Kazikata last yr saivi komwe limepungua anaonekana mbiurifooo
 
Mama ametisha😂😂
Anakupa full support

Hahahaaa hivi kwanini rasta zinasababisha komwe lakini.
Kuna ndugu yangu yuko huko alikua na rasta zikawa ndefuuuu ila komwe sasa😁
Kazikata last yr saivi komwe limepungua anaonekana mbiurifooo
Alianza kunambia tokea naenda chuo,, huku tena akanikumbushia..
Ningemsikiliza sahivi ningekuwa mbali sana, pia ningekuwa nishakomaa uso sana 🤣 komwe lingekuwa limekuwa afu limekuwa tena 😂😂😂

Nahisi vile wanavyovutwa, nywele inarudi nyuma sijui.. komwe linaanza kuota
 
Back
Top Bottom