Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,221
Weee ulivo mkorofi hivo mjomba 😉!! Haya kikao kikianza nijuze mjomba wangu mzuri mie!Badae inabidi tuweke kikao mahala shangazi.. najua wewe na mjomba wako hakuna linalo shindikana 😎
Weee ulivo mkorofi hivo mjomba 😉!! Haya kikao kikianza nijuze mjomba wangu mzuri mie!Badae inabidi tuweke kikao mahala shangazi.. najua wewe na mjomba wako hakuna linalo shindikana 😎
Weka picha yako wewe, waweza weka full picture or half pic..Natakiwa kufanyeje? Nipe maelekezo timilifu
😔😔Jamani, isijrudie tena vidole vizuri hivyo kupata mushkeli..Huko kwa Wazanzibar 😑😑
Imagine najigonga sehemu hiyo hiyo twice 😰
😁😁😁Nilijua tu 🤪
si ule msemo ukisusa wenzio twala mdogo wangu ndio nimemalizia hapo uposema nisisuse😂!!Wale kitu gani? 🤔
Ah sawa…. Wacha wafaidi basi 😋😋wale maziwa maziwa na mayonaizi na pipi kirungu
Kumbeeeesi ule msemo ukisusa wenzio twala mdogo wangu ndio nimemalizia hapo uposema nisisuse😂!!
Nakutumia location ya Juzi mjomba usitoke 🤣🤣🤣🤣🤣😂!!😔😔Jamani, isijrudie tena vidole vizuri hivyo kupata mushkeli..
Kizuri hicho ki maroon wauzaji wanasemaje.. wanaviita washa moto 😂😂😂
Mie mkorofi kwa wengine tu Shangazi.. ila kwako aaah.. nakuwaga nafata protocol tu 😀 😀Weee ulivo mkorofi hivo mjomba 😉!! Haya kikao kikianza nijuze mjomba wangu mzuri mie!
Pamoja sana ✌️✌️!!Kumbeeee
Basi fuleshiiiii
😔😔😔😔😔😔Jamani, isijrudie tena vidole vizuri hivyo kupata mushkeli..
Kizuri hicho ki maroon wauzaji wanasemaje.. wanaviita washa moto 😂😂😂
Bye shangazi 😔 😔 😔Nakutumia location ya Juzi mjomba usitoke 🤣🤣🤣🤣🤣😂!!
Mnasemaga hivohivo after sometime mnakengeuka setakeeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌!Mie mkorofi kwa wengine tu Shangazi.. ila kwako aaah.. nakuwaga nafata protocol tu 😀 😀
Kime match na rangi ya body wacha kabisa.. kushtuka moyo kama kawaida hapo 😎 😎😔😔😔😔
🤣🤣🤣🤣🤣 Hivi ehhhhh??? Wako vizuri 😁
😎 😎 hayo mambo ya teenager shangazi. sie mabazazi wala hatuna hayo mambo ya kufatana fatana kama mkia... uhuru wake na furaha yako ni kipaumbele changu kabisa shangazi 🙂🙂🙂Mnasemaga hivohivo after sometime mnakengeuka setakeeeeeeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌!
Moyo wangu ushatulia saivi mjomba usinikoseshe amani mie!! 😂🤣🤣🤣 mambo za kuchat limitations nehiii Mara ukitoka online Moja kwa moja polisi kujitetea sizitaki tenaaaaa mie 😉!! Am free and Happy again!!
Si hio hapo kwa DP? Wacha niweke nyingine ila nilishawekaWeka picha yako wewe, waweza weka full picture or half pic..
Shangazi, natupia badae shangazi usijali.. hapo sawa na kituma usinitag Shangazi nitasikia ushunguuu sanaa😂😂😂🤣🤣Basi situmi mjomba usiondoke si unaona wana selfika wengine bado wako likizo unatuachaje pekeetu lakini?!! Haya situmi mjomba wangu mzuri njoo!!
Siweki tena mjomba anything for you mjomba wangu!! Sema kingine 😉Shangazi, natupia badae shangazi usijali.. hapo sawa na kituma usinitag Shangazi nitasikia ushunguuu sanaa
DP kuna raba,, weka uchebeSi hio hapo kwa DP? Wacha niweke nyingine ila nilishaweka