Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wengine ni maumbile tu jamani,,


Kuna uzi humu jana nimesoma, baba mtu kaja kutafuta ushauri binti yake wa miaka 12 ana maziwa yameshakuwa saa 9 jioni. Akamtuma mama na shangazi wa mtoto wafatilie kama mtoto ameshaanza hiyo michezo… majibu yamerudi mtoto hajaanza…

Sasa kaja omba ushauri amsaidie vp binti yake maana mtoto ana ziwa balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka hadi bas ule uzi.
 
Amen
1656832082331.jpg
 
Back
Top Bottom