Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wengine ni maumbile tu jamani,,


Kuna uzi humu jana nimesoma, baba mtu kaja kutafuta ushauri binti yake wa miaka 12 ana maziwa yameshakuwa saa 9 jioni. Akamtuma mama na shangazi wa mtoto wafatilie kama mtoto ameshaanza hiyo michezo… majibu yamerudi mtoto hajaanza…

Sasa kaja omba ushauri amsaidie vp binti yake maana mtoto ana ziwa balaa.
nilicheka hadi bas ule uzi.
 
Amen
1656832082331.jpg
 
Back
Top Bottom