Darcyy
JF-Expert Member
- Oct 26, 2021
- 2,432
- 9,756
Micng youuu. Tulia hapo hapo nikuonyeshe kituMorning Sweetbebee!!

Micng youuu. Tulia hapo hapo nikuonyeshe kituMorning Sweetbebee!!

Miss you more sweetheart!!Micng youuu. Tulia hapo hapo nikuonyeshe kitu![]()
Mrembo uko vzr❤
Sante sama mamaaaaa ulikua hoooooootttt![]()


nilikuwaga chembamba balaaSante sanaaaMrembo uko vzr![]()

Hongera jirani...sasa umekua bonge kidogo au wastaniSante sanaaa![]()
Tukuone Nawewe mr Vocha!! Fanya kuibariki jumapili yangu mkuu!!Mrembo uko vzr❤
Saivi ni amepasuka hatariii mshepu kama wotee!!Hongera jirani...sasa umekua bonge kidogo au wastani
Hongera jirani...sasa umekua bonge kidogo au wastani
nimefutuka usisikie... Ila Niko Kwa mazoeziBrekifasti.
Wengine ni maumbile tu jamani,,
Kuna uzi humu jana nimesoma, baba mtu kaja kutafuta ushauri binti yake wa miaka 12 ana maziwa yameshakuwa saa 9 jioni. Akamtuma mama na shangazi wa mtoto wafatilie kama mtoto ameshaanza hiyo michezo… majibu yamerudi mtoto hajaanza…
Sasa kaja omba ushauri amsaidie vp binti yake maana mtoto ana ziwa balaa.





nilicheka hadi bas ule uzi.Nanenepa huwa nikituliaa mbnaduniani hakuna mwembamba. Huyo coca atanenepa siku utamshangaa
Umeona eeh,,,Nanenepa huwa nikituliaa mbna
Shos kuna mtu anakutafuta pmnilicheka hadi bas ule uzi.