Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Waangalie ndege angani.. wanajenga nyumba kwanza ndio wanatafuta watoto…Hahah mpaka unambeba Jr, jua nimekuheshimisha mno![]()
Sijui nataka kusema nini 😂
Waangalie ndege angani.. wanajenga nyumba kwanza ndio wanatafuta watoto…Hahah mpaka unambeba Jr, jua nimekuheshimisha mno![]()
Na bado nakutumia na clip za penat PM kwako😂😂Nimesononeka ghafla 😂😂
Sijui imekuwaje nimefika kwenye marudio ya FA cup
Aaarghhhh
Nisusu, nilale!
Good night y’all
Umeandika kama utaniataamshwa saa 8 za usiku akatafute juice ya miwa.
Saa 9 nataka uji wa mchele
Ajipange![]()

Mwenyewe nilikuwa nanyatia mrbo portable mweee...sii nikaambiwa kuna mshomile fulani anagegeda hivi kiuno. Tena jamaa anatuma nauli lako![]()

Aunt mic uOooohhhhppppssa nimekumbka mbali mnooo
Ahsanteeeeh, lol
Kumbe we dume mkuu. nafikirigi tunaochat chat hapa ni wadada





khaaaaahNiache basi nitalia sana 😂😂😂Na bado nakutumia na clip za penat PM kwako😂😂
Jirani naangalia penalties za FA cup…Jirani...vipi tena
Hadi kufika tumboniweeee
Hamna tumbo la majaribio

Wakati anaku approach na eet sum more 🤣Oooohhhhppppssa nimekumbka mbali mnooo
Ahsanteeeeh, lol
Sizitaki vocha mie, hujui JF watu wanasema mie nahongwa vocha za buku, tena nazikimbilia balaa, mniache na umaskini wangu,@cicastic shogangu uko Wapi kwani unapitwa Vocha hukuu!!
🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌Sizitaki vocha mie, hujui JF watu wanasema mie nahongwa vocha za buku, tena nazikimbilia balaa, mniache na umaskini wangu,
Sitakiiiiiiiiiiiiiiiih.
Anatoka zake huko ananiletea shule, ananibebea km 20 hivi, ananibebea mikate, jojo box zima pipi ivory mfuko mzima, soda za lita 1 chupa 5,Wakati anaku approach na eet sum more![]()









Weee kumbe!! Jf hujawazoea tu shos angu!!!Sizitaki vocha mie, hujui JF watu wanasema mie nahongwa vocha za buku, tena nazikimbilia balaa, mniache na umaskini wangu,
Sitakiiiiiiiiiiiiiiiih.