Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wakati anaku approach na eet sum more [emoji1787]
Anatoka zake huko ananiletea shule, ananibebea km 20 hivi, ananibebea mikate, jojo box zima pipi ivory mfuko mzima, soda za lita 1 chupa 5,

Yaan ananiletea vitu vingi, naenda weka kwa tranka, yaan nimekumbuka mbali mnooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sizitaki vocha mie, hujui JF watu wanasema mie nahongwa vocha za buku, tena nazikimbilia balaa, mniache na umaskini wangu,

Sitakiiiiiiiiiiiiiiiih.
Weee kumbe!! Jf hujawazoea tu shos angu!!!
Achana nao mamaa mie Naomba kama kawaaa sijareeeee wala nene na venye nimefulia hapa! ningepatamo kavocha ka 5000 mambo safi kabisa!🤔🤔!!
 
Back
Top Bottom