cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,277
Wee leo huko kuna mambo makubwa eeeh? Unafaidi mnooo.
Njoo shogangu !!
Wee leo huko kuna mambo makubwa eeeh? Unafaidi mnooo.
Njoo shogangu !!
Kama nakuona venye ulikuwa unazidi kufall in love 😻Anatoka zake huko ananiletea shule, ananibebea km 20 hivi, ananibebea mikate, jojo box zima pipi ivory mfuko mzima, soda za lita 1 chupa 5,
Yaan ananiletea vitu vingi, naenda weka kwa tranka, yaan nimekumbuka mbali mnooo,![]()





unaambiwa coca analilia vocha za Selfika had hurumaa, yaan selfika nzima hii mie tyuuh ndo nahaha na vocha za humu. Watu wana dhambi khaaaah.Weee kumbe!! Jf hujawazoea tu shos angu!!!
Achana nao mamaa mie Naomba kama kawaaa sijareeeee wala nene na venye nimefulia hapa!!!





nshawazoea bhana, huwa hawanisumbui mbna.Weee mbona kuna Watu kibao hawaombi na nawapita nazo kimya kimya kha!!unaambiwa coca analilia vocha za Selfika had hurumaa, yaan selfika nzima hii mie tyuuh ndo nahaha na vocha za humu. Watu wana dhambi khaaaah.
Nakuaminia jembe!!nshawazoea bhana, huwa hawanisumbui mbna.
Nikiwa mwenyekiti wa hii kamati ya wazee wa kimya kimya,, jana na leoWeee mbona kuna Watu kibao hawaombi na nawapita nazo kimya kimya kha!!
Kama nakuona venye ulikuwa unazidi kufall in love![]()






.Inawahusu nini?unaambiwa coca analilia vocha za Selfika had hurumaa, yaan selfika nzima hii mie tyuuh ndo nahaha na vocha za humu. Watu wana dhambi khaaaah.
Khakhaaaaaaaaa na milele amina😂😂🤣🤣!Nikiwa mwenyekiti wa hii kamati ya wazee wa kimya kimya,, jana na leo
Vocha ni vochaKhakhaaaaaaaaa na milele amina!
🤣🤣🤣Mnafatana Pm tena
Wee mtu mbad sana yani naingiza naambiwa imeshatumika 🙆🙆🙆!!Thanks man ngoja nkadownload movie 2 za kuangalia kesho
Antonnia na cocastic habari za saa hiiView attachment 2279529
Hongera chiefThanks man ngoja nkadownload movie 2 za kuangalia kesho
Antonnia na cocastic habari za saa hiiView attachment 2279529
Fast there,,, first servedWee mtu mbad sana yani naingiza naambiwa imeshatumika!!

Usilieee mrembo wa wenyewe 😄😄 mwenyewe sitaki shuhudia chozi lakoNiache basi nitalia sana 😂😂😂