Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Wamenibishia humu,na baridi linaendelea hili. Nimechek news hapa....
Sasa check weather mpk huu mwezi uishe!
Njombe ndo shikamoo mpk barafu zinaanguka
Nyuzi 9 so far
,mafinga,mbeya ,Iringa zinapishana kidogo ila ni balaa,12,13,14.... ndo balaa
Arusha haiingii kwenye hayo maeneo halo juu!
Ah leo hatari .. nilikuwa nazurura hapo kariakoo hali ya hewa ilikuwa ubaridi na mvua mvua kidogo .
kwa kweli huu mwaka baridi lipo la kutosha tu .
Hiyo mikoa si poa aisee .



