Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,274
Miss you mamy!😘😘
Miss you mamy!😘😘
Miss u too dadaMiss you mamy!![]()
Mi sijambo aisee...Habari za uzima msukumaa
Nakusalimia babaa yutongs![]()



Kimsingi leo jua liliwaka thoe lilikuwa ni la mchongo… j5/j4/j3 🙌🙌🙌, j5 ilikuwa 13.. ilikuwa balaa.. na la huku likikuingia tu mwilini, nimonia nje njeLeo chuga ni nyuzi ngapi?
Maana Njombe huko mpk sasa ndo wametisha barafu zinaanguka tu!
Ila dar sijawahi ona hii🙌
Pombe nimeacha mie 😅Utakunywa k vant ina joto🤣



️
️
️

HalelujahPombe nimeacha mie 😅
Hahaaahahaaaa ng'ombe hazeeki maini msukuma !!Mi sijambo aisee...
Naona unabarizi mitaa ya Moro na RR lako jipyaa.
...and yes. Yutongs foreva japo zimeanza kunielemea hasa zile supa dupa. Umri umeenda sana nisipojiangalia nitakuja kuzima laivu nikipambana na yutong
Kuna haja sasa ya kuhamia ule upande mwingine...as in Maendeleo Hayana Chama ...
Endelea kubarikiwa BL![]()

Nasikitika kusema nje hapatokeki my dear 🙃Halelujah
No worries babe!!!Nasikitika kusema nje hapatokeki my dear 🙃
Next time tutaenda pale Ethiopian Restaurant uwa kuna moto,,
Samehe mimi dada mzuri 😘😘
Reflection ya kwenye kioo ndo imetoa ukweli kamili...
Ni kama anavyosemaga mdogo wangu mmoja humu...halafu lizuriiii![]()


Jaribu jirani uwe na kifua tu😂😂 au hamnitaki
Boss wangu wangu Christine1 pole kwa joto la Dar, na karibu chuga siku moja uenjoy maisha kidogo.Jamani mlioko dar naomba mseme kukoje Leo?
Nimeangalia hizo nyuzi joto sijui
Njombe shikamoo🙌
Ah leo baridi lipoJamani mlioko dar naomba mseme kukoje Leo?
Nimeangalia hizo nyuzi joto sijui
Njombe shikamoo![]()
Wamenibishia humu,na baridi linaendelea hili. Nimechek news hapa....Ah leo baridi lipo
Limenipiga aisee na hako kamvua
Nini hiki?










Nimeishi sana dar,sijawahi ona baridi Kali hivi!Boss wangu wangu Christine1 pole kwa joto la Dar, na karibu chuga siku moja uenjoy maisha kidogo.
Huko Dar waachie akina Saint Anne wamepazoea😅
Nini hiki?
Vumbi la Kongo ama?![]()









dawa ya mafua hyo bana 





Kimsingi leo jua liliwaka thoe lilikuwa ni la mchongo… j5/j4/j3 🙌🙌🙌, j5 ilikuwa 13.. ilikuwa balaa.. na la huku likikuingia tu mwilini, nimonia nje njeView attachment 2279437
Tofauti mdogo lkn
Sio kihivyo