Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Habari za uzima msukumaa

Nakusalimia babaa yutongs
Mi sijambo aisee...

Naona unabarizi mitaa ya Moro na RR lako jipyaa.

...and yes. Yutongs foreva japo zimeanza kunielemea hasa zile supa dupa. Umri umeenda sana nisipojiangalia nitakuja kuzima laivu nikipambana na yutong

Kuna haja sasa ya kuhamia ule upande mwingine...as in Maendeleo Hayana Chama ...

Endelea kubarikiwa BL
 
Leo chuga ni nyuzi ngapi?

Maana Njombe huko mpk sasa ndo wametisha barafu zinaanguka tu!
Ila dar sijawahi ona hii🙌
Kimsingi leo jua liliwaka thoe lilikuwa ni la mchongo… j5/j4/j3 🙌🙌🙌, j5 ilikuwa 13.. ilikuwa balaa.. na la huku likikuingia tu mwilini, nimonia nje nje
FB4DEBF0-FCDE-47EB-A50C-1239C651993F.jpeg

3F335C37-525F-4585-83CA-CA8C838892FF.jpeg
 
Mi sijambo aisee...

Naona unabarizi mitaa ya Moro na RR lako jipyaa.

...and yes. Yutongs foreva japo zimeanza kunielemea hasa zile supa dupa. Umri umeenda sana nisipojiangalia nitakuja kuzima laivu nikipambana na yutong

Kuna haja sasa ya kuhamia ule upande mwingine...as in Maendeleo Hayana Chama ...

Endelea kubarikiwa BL
Hahaaahahaaaa ng'ombe hazeeki maini msukuma !!

Baraka nimepokea msukuma shukrani sana
 
Ah leo baridi lipo
Limenipiga aisee na hako kamvua
Wamenibishia humu,na baridi linaendelea hili. Nimechek news hapa....
Sasa check weather mpk huu mwezi uishe!🙌🙌
Njombe ndo shikamoo mpk barafu zinaanguka🙆🙌🙌
Nyuzi 9 so far
,mafinga,mbeya ,Iringa zinapishana kidogo ila ni balaa,12,13,14.... ndo balaa

Arusha haiingii kwenye hayo maeneo halo juu!
 
Boss wangu wangu Christine1 pole kwa joto la Dar, na karibu chuga siku moja uenjoy maisha kidogo.
Huko Dar waachie akina Saint Anne wamepazoea😅
Nimeishi sana dar,sijawahi ona baridi Kali hivi!
Arusha nimeishi almost 4 yrs ,zamani kidogo,njiro hapo!
Still baridi LA kipindi hiko sio km LA sshv!
Baridi iko Njombe huko🙌🙌
 
Back
Top Bottom