Tulia mama mi ni wako nakupenda sana
Usihangaike, usibabaike
Na wale maadui nataka wabaki na aibu
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Embu punguza maringo na mapozi nakupenda
We ni wangu, mi ni wako mpenzi wangu
Darle punguza maringo na mapozi nakupenda