myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Unacheka nini?
vitoto vitakuwa na mama yao parachichi na tikitimaji vina vibe tu


aunt zao tupo tutasaidia lkn tutakuacha kwa muda uteseke 
Anahitaji msaada,,maana anafanya mauaji huyo...Unacheka nini?
😋😋😋😋😋😋😋😋😋!! Navopenda mayai sasa uwiii!!😋😋
kachachuka hatari 😄😄😄Aunt leo umekula nini🤣🤣🤣
Au ni zile chapati za jana😁😁
Afadhali angewaoga anawaweka kwenye maparachichi na tikiti etHahaha anawaoga kila asubuhi sio


kijana huyu ovyo kbisana mathiwaaa ya ng'ombe fresh 😋😋Lol
😋😋😋😋😋😋😋😋😋!! Navopenda mayai sasa uwiii!!😋😋
Aunt leo umekula nini
Au ni zile chapati za jana![]()


aunt
kumbe upo hapa niliteleza kidogo😄😄😄😄😄 na ni twin tu mwanzo mwishoaunt zao tupo tutasaidia lkn tutakuacha kwa muda uteseke
![]()
na ni twin tu mwanzo mwisho


km nakuona utavoshangaa mmoja anakwambia mm parachichi mwingine tikiti kwa mbali anakuja mo29 akiwa na ndevu tayar


Leta hela nikuuzie hii😃Lenie
Nataka miwani ya pc 😁😁
Maana macho dr anaweza nitimua maana bado yako mazimaView attachment 2277400
Yani mulemulee!!! Na ya mgando pia napenda mnooo!!na mathiwaaa ya ng'ombe fresh 😋😋
Nasubiri matunda alafu nirudi kulala 😄😄😄Yani mulemulee!!! Na ya mgando pia napenda mnooo!!
Hiyo kama ya spider siitaki 😂Leta hela nikuuzie hii😃View attachment 2277406
😂 😂 😂 Iko poa jirani...Hiyo kama ya spider siitaki 😂
😄😄😄😄 traamu
😂😂 jamaniHiyo kama ya spider siitaki 😂
Mie nimetoka kula gali ndondo la mama Samia hapa naenda kusinzia tu kwenye civics!!Nasubiri matunda alafu nirudi kulala 😄😄😄