Penetration testing tupo aina mbili na zinafanyika kwa aina mbili.. ndani ya organizatuon hii mnawajua hata wanao fanya, alafu kuna ya nje ya organization hii hamjui watao ifanya, lengo ninkujirisha kama mfumo upo salama, kawa wa ndani wakishindwa na wa nje wakishindwa mpo safe kama wakitoboa mnazidi ku improve.. hii kitu muhimu sana kwenye mifumo yote na kwa namna ingine inasaidia hata kufanya system auditing