myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,792
- 721,062
Si kila mechi upate ushindi..unachagua mechi za kushinda. Ukishinda za nyumbani bora....Umekubali kushindwa 🤪
Miaka tulioishi ndiyo maana tuna Wajukuu wengi 🙊
Si kila mechi upate ushindi..unachagua mechi za kushinda. Ukishinda za nyumbani bora....Umekubali kushindwa 🤪
Miaka tulioishi ndiyo maana tuna Wajukuu wengi 🙊
Hapana jirani. Mimi muwindaji jirani..sisubiri mabaki.Nimekushtukia unaweza kuwa fisi mla kimyax2😆😆
Washa feni ujifunike shuka ama blanket
Shalom kaka la kakaMama la mama shalom🤼
Ts sound good 😂Shalom kaka la kaka
Hilo nalo nenoHapana jirani. Mimi muwindaji jirani..sisubiri mabaki.
Wewe Mjukuu huchelewi kusema hicho Kinywaji ni Ulanzi wa kutoka Songea![]()




kwanza hebu usinikumbushe mate yashajaa mdomoni, natamani ulanzi hatareeee.
Tunaangazia maeneo jirani ili huyu mtu apate sababu ya kukuita jirani🤣mbna siko Pwani mie
Tunaangazia maeneo jirani ili huyu mtu apate sababu ya kukuita jirani![]()




mwambie akuje hyatt regency, bill juu yangu.
myoyambendi dili hilomwambie akuje hyatt regency, bill juu yangu.
Muda umeenda, wiki ijayo ntakwa lwani tena..Tunaangazia maeneo jirani ili huyu mtu apate sababu ya kukuita jirani🤣
🤣🤣🤣 Ningesema mapema, nimekosa bahati.myoyambendi dili hilo
Jirani wiki ijayo narudi tena. Ntakutafuta..mwambie akuje hyatt regency, bill juu yangu.
Karibuuu tenaaa,Jirani wiki ijayo narudi tena. Ntakutafuta..
Sawasawa jirani. Nikija ntapita maeneo yakoKaribuuu tenaaa,