Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,817
- 233,249
Yaani hata siku moja usije washauri watu kuhusu mahusiano.Nina huyo mtu mdada alizinguana na bwana ake walikua kama wameachana kabisa haya nikajikuta mama ushauri ongea weee hee hata mwezi haujaisha wamerudiana, mimi sasa ndio nikaanza kusemwa naona wivu kisa mahusiano yangu mabovu nao nataka kuwaharibia nilikomaaa![]()
Wakipatana unaonekana wewe mwanga
.Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


sidhani Mimi kajamba nani km utaniweza

