Selfika na JF: Snap it. Show it

Hakika dear

Love doesn't ask why
It speaks from the heart
And never explains
Don't you know that

Love doesn't think twice
It can come all at once
Or whisper from a distance
Yeaaaaah dear.
Love is blind.
 
Hivi hujawahi kuingia ule uzi wa perfume ee😁😁
Hizo uzi za watu smart smart, sio mabeberu wa kazi gani.. Perfume huwa nazisikia tu kwa wana.. mie toka niumbwa sijawai tumia hiyo kama vile ambavyo pombe haijawai ingia kichwani.. alafu na mie wa maajabu eeh πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
Me wananikera sana


Kwa sababu nikijiangalia,. Uwaga nafall before hata kujua mtu ananini.
Imagine mapenzi ya kijf,, saa ngapi nitajua una gari?
wee usiwe unaingia miguu yote, unaanza kwan mguu m1 km makitaimu, hujasoma Cuba wee?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…