Sasa nimekuuliza wapi leo na wewe una nata nata kama bao .. mie nimekupa hadi code.. chaka langu kule juu unaupita msikiti unakuwa kama unaenda kanisani.. napakigi kule nalala nasubiri kuwapa lift wanafunzi wanaotokea hostel ππππ
Dah! Umenikumbusha mbali sana, kuniambia chato.. I wish niwe kipande hicho . mida kama hii naingia hapo natoka paka geita mjini nime miss sana huo ukanda