Selfika na JF: Snap it. Show it

Nsha solve mwenyeweee, hilo lisikupe shida, wee c ulisema utakua hapa leo wee?
Sasa nimekuuliza wapi leo na wewe una nata nata kama bao .. mie nimekupa hadi code.. chaka langu kule juu unaupita msikiti unakuwa kama unaenda kanisani.. napakigi kule nalala nasubiri kuwapa lift wanafunzi wanaotokea hostel πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
 
My dia badae badae nashindwa kujifotoa hapa nilipo. Mambo yako vipi lakini??
hata za zamani zamani kama zipo.. πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚. mambo yapo tu siku haindei paka mda huu bado mpira ni bira bira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…