Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hahahasasa nitazame chini kisa mtongozo? Serious?
Una maconfidence


Hahahasasa nitazame chini kisa mtongozo? Serious?


Babuuuh hadi nimeogopaaa, woiiiiih.
Muwage mnaziosha bas na nyie, zinakua chafu na nyeusiiii, afu sasa zingne zunakua km na Gaga ukigusa zinatoa unga unga km utoko utoko, hio harufu sasa, km panya aliyeozaaa.
Muwage wasafi bhana.![]()


auntKhaaah dea sasa nitazame chini, ning'ate vidole, nichimbe chini na mguu kisa mtongozo?Hahaha
Una maconfidence![]()







Huu ujasiri huu umeutoaga wapi?sasa nitazame chini kisa mtongozo? Serious?
Khaaah dea sasa nitazame chini, ning'ate vidole, nichimbe chini na mguu kisa mtongozo?
Hapana sio mie.



MerciOooh poleeeeh dea. Hope utaku bien.
Tena namtazama kwenye suruali pale panapotuna, ili nihakiki km kweli anachonitamkia kinafanana na alichokibeba.
Hizo za zamani aisee
Macho kodo eeh






Yani nmehama hospital nmehamia government.....Pole umeumwa tena, angalia dawa unazotumia wasije wakawa wanakutibia juu juu bila kwenda kwenye roots
Asante mamaMungu akufanyie wepesi upone![]()
Kha sikuweziTena namtazama kwenye suruali pale panapotuna, ili nihakiki km kweli anachonitamkia kinafanana na alichokibeba.![]()


Amen mkuuOoh pole sn..Nakuongeza kwenye maombi yangu usiku huu.Mungu atakutia nguvu na kukuponya
Unatisha sana kwa age yako, huko mbeleni sijui itakuwaje😅😅Sio mda sana,![]()
Asante mkuuUpone haraka aisee...
IJN![]()
Umefanya vyema, hata ukimaliza dose unafanya kujilizisha kuwa kufanya checkup vizuri kwa sehemu tofauti. Kumekuwa na shida ya watu kutibiwa juu juu. Pole kamandaYani nmehama hospital nmehamia government.....