Selfika na JF: Snap it. Show it

Hasa yoni ndo nn tena jmn
Okay dear
Yoni pearls huitwa lulu za kuondoa sumu kwenye uke, ni mipira midogo iliyofunikwa kwa kitambaa iliyojaa mimea, kama vile: motherwort malaika borneol rhubarb rhizoma osthol Lulu ,hizi za nguo huingizwa kwenye uke wako kwa saa 24 hadi 48 kwa kutumia kupaka plastiki.
 
Khaaaa🙌🙌🙌🙌
Ndo maana kansa za vizazi haziishi
 
wenzako walifundsha mabara yote, akaangukia kwa myao m1 hivi, ila yule prof daaah, eti anaonesha pepa lote, uwiiiiih. Watu wanalisolve tyuuh.
 
🤔🤔asante
Eeh kuna mambo kumbe
 
Huu uwongo wenu unawasaidia nn? Kuweni wakweli mnaogopa kufanywa misukule.
Hapana mjukuu.

Unaweza kuwa na mbususu tight na mnato kuliko zote duniani lakini kama una kauli za hovyo full kisirani na gubu, mjuaji wa kila kitu, heshima zero + uanaharakati uchwara mbona hakuna kitu? Watu watakuwa wanapiga tu na kusepa wanakwenda kusimuliana huko.

Hakuna mwanaume mkorofi kwa mwanamke anayejitambua uanamke wake na nafasi yake ya kiungu kama mwenza, mama, mlezi, mke, rafiki na msaidizi...

Nyinyi vijana wa siku hizi vurugu tupu mnakuja kutulia hukoo mid 30s
 
Daah huku nikujielewa kwa kiwango cha SGR.
Nimeipenda sana hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…