Selfika na JF: Snap it. Show it

Wa kishua eeh ...Sasa aache kupita na wastaafu wenzio hapo UD
Nimefundisha pale zaidi ya miaka 10. Hakuna jipya ambalo silijui pale. Hata kuanzia 2022 - 2023 academic year nitakuwa hapo...God willing


Mabinti wanaponzwa na tamaa lakini pia wengine ni kweli wana hali ngumu kiuchumi hasa hawa wanaotoka mikoani huko familia za kawaida hawana ndugu mjini na HESLB nao wanawazingulia. Ni shida tupu yaani!
 
Af nifungwe maisha niache hizi raha za dunia mzifaidi wenyewe akuuu
Usiogope. Ukizimikiwa na kibabu hakuna kesi bageshi. Unakwenda kituoni unaandikisha maelezo tu na autopsy ikionyesha kuwa kimezimika tu chenyewe kwa raha zake basi huna kesi.

Sema labda kuathirika kisaikolojia maana imagine ndo kifo cha mende halafu kibabu cha watu ndo kinazima. You gonna need therapy for years...

Kwa kweli ni bora tu mkomae na vijana wenzenu huko
 
Kumbe sio mstaafu bado
 
Bageshi😂😂😂

Nikisomaga tu hizo habari hua nashindwa kuimagine mhusika anajifeel aje, unawexa tamami ardhi ipasuke udumbukie chibwii upotelee huko.

Hizi mambo zingine zisikie tu kwa watu jamani usiombe zikutokee
 
Bageshi


Nikisomaga tu hizo habari hua nashindwa kuimagine mhusika anajifeel aje, unawexa tamami ardhi ipasuke udumbukie chibwii upotelee huko.

Hizi mambo zingine zisikie tu kwa watu jamani usiombe zikutokee
Hadi uchunguzi uje ukamilike; umekoma umekomazika. Bado home na kwa wananzengo; utapewa mahubiri hadi utamani Yesu arudi leo
 
Bageshi


Nikisomaga tu hizo habari hua nashindwa kuimagine mhusika anajifeel aje, unawexa tamami ardhi ipasuke udumbukie chibwii upotelee huko.

Hizi mambo zingine zisikie tu kwa watu jamani usiombe zikutokee
Ndo maana Baba Mchungaji anawaasa sana mkae mbali na vibabu....

Yeah!

Siyo tukio jema kwa kweli....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…