NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Lipi hilo neno?
Sijui gesi , sijui kuni na mkaaa mi sijaelewa kabisa ,







Sijui ni kitenzi, au nomino, ila key word yenyewe ni UKUNI

Lipi hilo neno?








wee isiwe serious eti.

Nifanyie wepesi sasa
Nikucheulie wareno
Hapo kunako





nataka wa Russia mie.Hujambo jirani..Peeler/grater
Theory tyuuh, no practical.Majaribio yanaruhusiwa...maana kwa maneno hayo unashawishi






Natembea huku nimeshikilia fimbo kipenzi 🤣🤣Huogopi kuanguka wee?![]()
Sijambo kabisa jirani, sijui wewe?Hujambo jirani..
Ntakuja vizuri nikiwa mwenywe, sasa hivi nahisi akili zangu kuna mtu kanishikia![]()





khaaah we.Aisee ..
Kweli lugha inazaliwa na inakua , ndio kama hivyoSawa shangaziShangaziiii, mie mwana sayansii nivumilie![]()
Namshukuru Mungu jirani, mambo yanaenda sawa..Sijambo kabisa jirani, sijui wewe?
Umenishinda tabia..kwanza tuma kapicha kakoTheory tyuuh, no practical.![]()
Nakuambia utaachwa, we ukisikia wapi ukifika kwa ankoli inaanza piga deki, salimia majirani kwanza wakupe habari za hapo.tutaenda shangazi nitafutie mshono konk alaf akifika ankowako naanza kupiga deki usisahau kawe kna mpasuo
![]()







Bao la pili Warusianataka wa Russia mie.
akili🤣Umeniangusha sanaa, ila we kiumbe ni mwembamba khaaa, hiyo miguu km fito bhana, usiwe unavaa bukta wallah, yaan nimeshindwa kuvumilia, nimecheka mnoooo.