Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Panafaa sana hapa kuja na yule pisi anayefaa yule.

IMG_8278.jpg
 
Habari kuu.

Tamisemi yatoa ajira za afya na ualimu. Walioomba ni 150k, waliopata ni 9.8k.

Watu wameliwa vichwa huko hadi hurumaaa,
Kuna huyo dada yeye leo ni kilio tyuuh, mbavu zangu mie.

Watu wanateseka na ajira, heri yangu mie naeambiwa sifanani na kuajiriwa au sifai kutumikia taaluma yangu, nshajipanga kisaikolojia nikimaliza nafanya mambo yangu mengine, wao sasa vilio tyuuh huko sahivi.

DJ waleteeeeeeeeeeeeeh,
 
Habari kuu.

Tamisemi yatoa ajira za afya na ualimu. Walioomba ni 150k, waliopata ni 9.8k.

Watu wameliwa vichwa huko hadi hurumaaa,
Kuna huyo dada yeye leo ni kilio tyuuh, mbavu zangu mie.

Watu wanateseka na ajira, heri yangu mie naeambiwa sifanani na kuajiriwa au sifai kutumikia taaluma yangu, nshajipanga kisaikolojia nikimaliza nafanya mambo yangu mengine, wao sasa vilio tyuuh huko sahivi.

DJ waleteeeeeeeeeeeeeh,
Mungu atawafuta machozi.
 
Habari kuu.

Tamisemi yatoa ajira za afya na ualimu. Walioomba ni 150k, waliopata ni 9.8k.

Watu wameliwa vichwa huko hadi hurumaaa,
Kuna huyo dada yeye leo ni kilio tyuuh, mbavu zangu mie.

Watu wanateseka na ajira, heri yangu mie naeambiwa sifanani na kuajiriwa au sifai kutumikia taaluma yangu, nshajipanga kisaikolojia nikimaliza nafanya mambo yangu mengine, wao sasa vilio tyuuh huko sahivi.

DJ waleteeeeeeeeeeeeeh,
Tumepata wawili... Gs na Bios!
Waleteeeeeeeeeeeeee!!
 
Back
Top Bottom