Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,150
- 28,861
Mawadart ulipotea sn mrembo.. Hujambo?
Mawadart ulipotea sn mrembo.. Hujambo?
Ah pole aiseeNiliwaombea Wana jf wote.
Kuhusu usafi wala usinisifie,Mimi mwenyewe nafanya huku nasononeka,inaniuma sn kuosha vyombo na kufua
nasikitika Tu kukosa picha zako. Nasikia Tu mtoto mweupe chumbani hakuna haja ya taa unaambiwawee Dr kuna nn kwan?


Mbna mie niko hapa sana, tena buli buli.Hivi unajua Mimi sijawahi kuona picha yako hata moja humu? Kila nikiotea nakuta manyoya Tu
Kuna wewe,Tinsley na mama mchungaji Heaven Sent naishia kuona miguu Tu
Angalau Jana nimemwona mrembo Antonnia nikafurahi,Ila wewe...!!




Yaan hadi nikukumbushe? Haya nambie mda gan nikukumbushe?Usiwe na shaka utanikumbusha tuu
Wee huko home ni mvua? Ooohhhpppss mbna baridi itaongezeka.
Nashukuru Kwa kunitag..nimependa moyo wako mzuri wa kutaka tusafishe macho wote![]()


Khaaaah,nasikitika Tu kukosa picha zako. Nasikia Tu mtoto mweupe chumbani hakuna haja ya taa unaambiwa![]()







Duu, hapa haina haja ya kutia neno lingine, anafaa sana .nasikitika Tu kukosa picha zako. Nasikia Tu mtoto mweupe chumbani hakuna haja ya taa unaambiwa![]()
Mrembo

Thank you Coca
Mtoto mashallah.
![]()
Wee kumbe!!! PoleeNiliwaombea Wana jf wote.
Kuhusu usafi wala usinisifie,Mimi mwenyewe nafanya huku nasononeka,inaniuma sn kuosha vyombo na kufua
Mvua inanyesha hatar,Wee huko home ni mvua? Ooohhhpppss mbna baridi itaongezeka.
Ndiooooooo!!! Tabasamu kama loteeee


!!Mrembo
Una dental formula nzuri


wee dea, hapo natafuta dawa nzuri na bora, Thank you Coca
Upo vizuri na wewe .. kungwi wetu



kungwi km nyakangaaKheeeeh mbna sasa ni noumaaaaaah!!!Mvua inanyesha hatar,
Baridi limeongezeka mara 100
Tokea juzi jua hakuna.