cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
@robbinhoodNani huyo ambaye nafanana nae mrembo?
@robbinhoodNani huyo ambaye nafanana nae mrembo?
Hapa nimeangalia kila eneo sijashtuka ila viatu vyote vizuri mkuu🤣 😎
Coca Una maneno sn asee.Sasa huyo jamaa huo ub** wake uliuonea wapi Hadi unamwambia hivi![]()



aaah wee, JF kwa kamba utaweza? Tena za mipira ya nati.Nasikitika sn usiku wa Jana kukosa mambo matamu hivi..inaniuma snWaoooooo....
Hii leo live bila chenga
Kumbe mrembo hivyo?
Ahsante coca![]()


Ah hapananikajua ni daktareeeee.
Niko poa..ulienda church?Njema Sana Satoh u hali gani weye??
Niko poa..ulienda church?



wee Dr kuna nn kwan?Pole chief
@robbinhood njoo hapa.Yupo humu? Mtag mwambie Pacha wako anataka uselfike
robbinhood
Yah..miss ya saa 1,now nafua nguo na kufnya usafi wa nyumbaHapana Leo sijaenda mkuu!! Vipi wewe ulienda??
Afu sijasahau ujue, nasubir mwenzio.Pole chief
Nikitulia nitakusimulia labsa unaweza kua na picha ya kufikirika
Jana nilkua na bahati ya mtende
Hebu nione lips dea.Ah hapana
Vizuri sana mkuu bila shaka ulituombea nasie!!Yah..miss ya saa 1,now nafua nguo na kufnya usafi wa nyumba
Hivi unajua Mimi sijawahi kuona picha yako hata moja humu? Kila nikiotea nakuta manyoya Tuwee Dr kuna nn kwan?


Haushindi humu eehHivi unajua Mimi sijawahi kuona picha yako hata moja humu? Kila nikiotea nakuta manyoya Tu
Kuna wewe,Tinsley na mama mchungaji Heaven Sent naishia kuona miguu Tu
Angalau Jana nimemwona mrembo Antonnia nikafurahi,Ila wewe...!!
Mbona wanaweka sana tu mkuu Utakua unapishana nazo labda!!Hivi unajua Mimi sijawahi kuona picha yako hata moja humu? Kila nikiotea nakuta manyoya Tu
Kuna wewe,Tinsley na mama mchungaji Heaven Sent naishia kuona miguu Tu
Angalau Jana nimemwona mrembo Antonnia nikafurahi,Ila wewe...!!
Maana naona Tu mnavyosifia mtoto mweupe km mzungu,mtoto anang'aa.Kila nikitafuta hizo picha nakutana na manyoya Tu dadekiPole chief
Nikitulia nitakusimulia labsa unaweza kua na picha ya kufikirika
Jana nilkua na bahati ya mtende
