cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Wee unajua ntakubonda?Mhhhhh......
Hicho kiti kilifaidiiii
Ila umewakaaaa![]()





Lalaga mhola nkulugenjiHS
Ndio kishaitwa pm
Hakuna picha tena
Tonnia lile dada lizuri
Amelala
Coca ndio huyu hata kutuonyesha tako skonz hataki
Sophy angalau na mdomo wake wa denda
Tina nae aah sijui nani anambana huko
Nilikuwepo wandugu
Muwe na wakati mzuri nyote![]()


Mzungu wapi? Tabuuu tupu.Woiii
Toto jeupe
Auntyangu mzungu![]()




Mimi pia ninazoooo....Babuuuh nan ana hela?![]()
Wewe mtu asiye na hela kwanza anaanzia wapi kukutongoza? Kha!Babuuuh nan ana hela?![]()
Nikajua unanizuia
Niendelee kuwepo



baki hapa, leo week-end tuna selfika.Leo kesho
Nakutakaga
Bhas unanibania





Hahah mzungu kweli auntMzungu wapi? Tabuuu tupu.
Kuna class mate ni mtu wa mwanza, sasa bhana akiniona tyuuh utasikia wenye rangi yao hao, ananikera mnooo.
Mchumba angu ndo kwanza yuko huko shule, anapambana na chand. Uwiiiiiiih.Wewe mtu asiye na hela kwanza anaanzia wapi kukutongoza? Kha!
Naomba bas nigawie na mieMimi pia ninazoooo....
Weka nambari ya account hapa chapNaomba bas nigawie na mie
Hebu weka kule chap bas nawe, watoto wavimbe mjini.Weka nambari ya account hapa chap
Au ile ya mpesa chap muamala usome chap
Unaweka hapa dk 0 unafuta kama ambavyo huwa unafuta selfie zakoHebu weka kule chap bas nawe, watoto wavimbe mjini.
Waoooooo....