Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Ilikuwa saa nne na dk zakeUwiiii sikuangalia kabla ya kupost
Nimefuta faster
Asante aisee
Lile ni shuka au duvet

Ilikuwa saa nne na dk zakeUwiiii sikuangalia kabla ya kupost
Nimefuta faster
Asante aisee

Ruhusu wote tulioomba kuwa followers wako acha ubaguzi...kumbe na ww ?!!!!
Weee lini hiyo tena? Mungu amsaidie jamani; itakuwa Yale mambo yake yanamchanganyaMama malezi.
MK ameanza kuokoka, wokovu umemfikia ameanza kutoa neno.
Ila yule asipopata mtu wa counselling anaweza kujiua.
kachanganyikiwa na kupagawa hadi huruma.
Jmn😂😂wige nn tenaIlikuwa saa nne na dk zake
Lile ni shuka au duvet![]()
Ninunue kimashine?Kwa wanaume ni kheri ununue vile vimashine vya kukwangulia, kukata vidogo vidogo ni kipaji![]()
Niliyavagaa kwa mpopo m1 yule mbwa hata staki kumuonaa mie lol.Wa kwetu ndiyo...
Wa huku walishanishinda mjukuu.
Huwa napiga tu na kusepa. Ujichanganye kwa Black American we. Mbona hakuna rangi ambayo utaacha ona
Kuna kisa cha kula kimasikhara nakimalizia nitakutag kule kwenye uzi wao
Naona hii wine inataka kunizidia





Yule jamaaSiyo kwamba aliyetaka kwenda PM ameshaenda![]()



Kuna mzozo mkubwa sana kwa wanasayansi hapo kwenye from nothing.....Soma neno
Mmh sidhaniRuhusu wote tulioomba kuwa followers wako acha ubaguzi...
Nimeona ktk ukurasa wa Bongo 5, afu chimbo hii week hayupo.Weee lini hiyo tena? Mungu amsaidie jamani; itakuwa Yale mambo yake yanamchanganya
Hahaha hata kwetu ni kipaji aisee. Na peeler ni shwaaa
Mimi niachilie...Mmh sidhani
Ngoja nione
Walioomba hapa karibuni na block


Shangazi leo watu wako live wameanza kushtukia hawalaliShangazi muda ndo huu.


Amplified BibleKuna mzozo mkubwa sana kwa wanasayansi hapo kwenye from nothing.....
Ni Biblia gani hii?
Wa kwetu ndiyo...
Wa huku walishanishinda mjukuu.
Huwa napiga tu na kusepa. Ujichanganye kwa Black American we. Mbona hakuna rangi ambayo utaacha ona
Kuna kisa cha kula kimasikhara nakimalizia nitakutag kule kwenye uzi wao
Naona hii wine inataka kunizidia

Mkuu. Kabeji ni kabeji tu...Hata uifanye vipi ni kabeji tu.Ili mradi zilike siohizo nyingine ni mbwembwe japo zikiwa nyembamba huwa zinakaa sawa sana na ukute zimepikwa na fundi hajatia hata nyanya
![]()

Shangazi leo watu wako live wameanza kushtukia hawalali![]()




wanaua vibe eeeh?