Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Niliyavagaa kwa mpopo m1 yule mbwa hata staki kumuonaa mie lol.
Mbna black Americans nawapenda mnoo mie,

Wazungu bhana mnaendaa cafeteria, ukijua analipa yeye kumbe ujilipie mwenyewe, afu hakupi in4. Khaaaah.

Sitakiiiiiih.
Usinikumbushe...

Niko mgeni bado...

Mtu kaniambia twende tukale. Kaniamsha kabisa mi nimelala. Nimsindikize restaurant...

Kufika huko chakula kaagiza chake....na changu

Bill inakuja kila mtu analipa alichokula. Hovyo sana yaani...
 
Usinikumbushe...

Niko mgeni bado...

Mtu kaniambia twende tukale. Kaniamsha kabisa mi nimelala. Nimsindikize restaurant...

Kufika huko chakula kaagiza chake....na changu

Bill inakuja kila mtu analipa alichokula. Hovyo sana yaani...
Afu ikukute huna hela, utajutaa mbna, woiiiiih
 
Back
Top Bottom