Nimeangalia video yote ya siku ya tatu sijamuona Binti Abiudi. Mpaka nimetumia na software ya kutambua uso lakini wapi. Ngoja nile kwanza halafu niendelee
Nimeangalia video yote ya siku ya tatu sijamuona Binti Abiudi. Mpaka nimetumia na software ya kutambua uso lakini wapi. Ngoja nile kwanza halafu niendelee
Hapana. Sijabahatika kumuona. Nitazipitia za siku zote kwa software na nitamuona tu kama alikuwepo. We sema mjanja ukiselfika humu miemoji kama yote vinginevyo na wewe ningekudabua tu kama unahudhuria hii semina
Nipo zangu venue za masters, nachabo watu, kumbe bhana yeye huwa ananionaga mara nyingi, kanifata nimemsalimia kaniuliza nimefata nn pale nkamjibu kuna mtu nmemfata, akanambia yupi hebu mtaje,
Khaaah nkaona huyu anataka kunizingua, nkamuambia namsubir mwenyew, si akaanza kuleta pigo zake za kiwaki, nkaamsha kichaa changu, nimemuoshaa, na nimemuambia akiniona aufyate kabisaa, na sitokoma kwenda pale ko ategemee kuniona sanaa.