Selfika na JF: Snap it. Show it

Nanii yule ni vile hakujui vizuri πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‡ we mwenyewe unajua yale maarifa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Yeuwiii🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Nikaushie basi shogaa, nitakupa pipiπŸ˜‚
 
This is deep Baba Mchungaji.

Ubarikiwe sana
 
Asante Baba Mchungaji kwa ufafanuzi huu. Mungu na Aniwezeshe kufikia huo umri wa double blessing
Kuna case : Ezekieli , hakufunga agano la miaka, ila alimkubusha alichofanya kwa Mungu, Bwana Mungu akaona isiwe case kula hiyo 15 mingine. Kuna Walio fufuliwa kwa ajiri ya utoaji wao na Mungu kuwaongezea uhai wao hapa duniani.. ect ni kibliblia inategema na majira na wakati wa ufunuo unapokujia maana unakuwa umebeba nguvu ya udhihirisho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…