Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Provided that physically upo fit na huna tatizo kiafya.
Kumfikisha mwanamke ni experience.
Kingine usafi, usafi, usafi!!!!!!!!!!!
Kama hujazoea mbususu, ni ngumu kucheza nayo.

Nawahusieni vijana wangu, mnao google How To Last Longer in Bed.

Kuna ile refractory period, ule mda mzigo baada tu kupiga bao, ule muda mashine ina recharge ili uendelee na safari.
Sasa hapo inatofautiana kwa vigezo vya umri, afya, lifestyle n.k, kuna ambao wana recharge faster na kuna ambao wapo slow hasa wazee.

Kwa sisi magwiji, wakojozaji walioshindikana huwa hatujui duniani kama kuna refractory period, yani ni kipigo mwanzo mwisho, toa kitu weka kitu...

Ngoja nikae kimyaa............ _King siku njema 🙂
Mkuu huu unaofanya ni uvuvi,hututakii mema Sisi tunaenda bao moja kisha kuamka Hadi neema ya bwana itushukie
 
sasa hapa ndipo ile misosi yetu pendwa ya kuongeza fertility na sperms count inafanya kazi yake, sasa vijana wanajua eti ile misosi inaongeza nguvu za kiume .
Bao 4 inabidi uwe na mzigo wa kutosha.
Kingine maji ya kunywa
2001527_img-20190124-wa0004-jpeg.1993309
Mkuu Kwa Sisi tusiokula hiki kifurushi ndy hatuwezi kbs kupiga bao nne??
 
Back
Top Bottom