Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hello Anne,

Natumai unaendelea vema kabisa kwa neema ya Bwana, ukimpendeza Bwana na Wanadamu.

Natoa shukurani zangu za dhati kwako kwa mwaliko wa kutoa pendekezo langu.

Bila kuathiri muktadha wa mada, Niliposema smart way nilimaaisha nini?

Kukubaliana vocha iwe haki ya ladies, kisha ukaacha room ya makubaliano kuvunjwa, to me this ain't smart way.

Ila baada ya kukubaliana ukaenda extra mile kufunga means za uvunjifu wa makubaliano, to me this is smart way.

Kuhitimisha, kukubaliana sponsorship ya vocha iwe haki ya ladies then mkaacha sponsors watoe vocha katika namna haiwapi exclusivity ain't smart way.

Nadhan uwezo wa JF wa kulimiti mkanasha ungesaidia.

Ubarikiwe
Dah
Umetype hii kitu karibia masaa ma3 mkuu 😂😂
 
Back
Top Bottom