Tetramelyz
JF-Expert Member
- Apr 25, 2014
- 4,369
- 12,469
Watoto wana hekaheka hawa na tunywele twaoTunywele tulivyomfanya mtu akatae jeshi Heaven Sent View attachment 2269908
Mbona 🙏 mkuu 😁😁
Ngoja awe portableWe unataka kuwa portable tena
We Baki hivyohivyo bana,unapendezaaa


Hahahh! I can't imagine mjombaaa!! Naendelea na mazoezi na diet mieImagine tu umekuwa kiportable,
![]()


Atakaeweza kutoa hizo mistari miekundu kuna zawadi yakeTunywele tulivyomfanya mtu akatae jeshi Heaven Sent View attachment 2269908
Tunywele twenyewe tudogo 😁😁 au kisa tumebanika ka mchichaaWatoto wana hekaheka hawa na tunywele twao
😅😅😅 muache mtotoAtakaeweza kutoa hizo mistari miekundu kuna zawadi yake
Unaijua struggle ya kutonea nywele hadi ufikishe kimchicha eehTunywele twenyewe tudogo 😁😁 au kisa tumebanika ka mchichaa
Eendiwoooo Tina nataka kupungua kidogo!!We unataka kuwa portable tena😁
We Baki hivyohivyo bana,unapendezaaa
😄😄 niijulie wapi low cut mieUnaijua struggle ya kutonea nywele hadi ufikishe kimchicha eeh
Bahati yako 😂😂😄😄 niijulie wapi low cut mie
Asante ya kukataa kwenda jeshi au
Moyo wangu umesema ninwambie asante
Ya kuselfika da-mtumishiAsante ya kukataa kwenda jeshi au
Emu kwanza nimfute..Ya kuselfika da-mtumishi
Aah mkuu , inatafakarishaje tena?🤔Mungu ni mwema
Sijambo kidogo
Niombee nisikuote
Maana hiyo staili
Ya kuchuma kokoa
Inanitafakarisha
Captain ,Captain,Captain.Unaona sasa, mtoto mzuri huna shida na mtu, umekaa nyumbani unasikiliza neno.