ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,434
- 118,992
Mmeanza 😂😂😂😂Kaniacha baada ya kumtoa kimaisha
Mimi ni Mama wa watoto watatu, kabla ya kuoana na mume wangu nilikua na mwaaume mwingine ambaye tulikaa kwenye ndoa kwa miaka sita akafariki dunia, mimi nimemzidi mume wangu miaka mitatu, kabla ya kuoana tulikaa kwenye mahusiano kwa miezi sita, nilipoona nazidini nikaamua nimuambie kuwa anioe...www.jamiiforums.com
Hahaha dadeqiiiDuu kwa hyo huyo dada hapo ana watoto watatu?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mmekuja kuoneshwa sio? Na sahiii hata mishahara hamjamaliza vzuri vzuriNimesema tu mkuu, reputation matters a lot. Huyu member sijawahi hata kuona akiwa active, amekuja mahsusi kutuonyesha alivyo mtammbona kina Sakayo ni visu hatari na hatuhoji
![]()
Hi everybody View attachment 1254003
Post and deleteNimefanya nini![]()
Nataka siku moja unipeleke white sands mkuu.sijafika bwanaNimetoka white sands nimeweka kikao 4 ways mpya sasa hivi View attachment 1253245
Sahii si umemuona kwa Hurrem 😂@Hazard CFC alishakolea masikini, amebaki na mfurugano![]()
Uko na kiu kakaTii kiu yangu jamani..![]()

Ukuje na mahela mengiNataka siku moja unipeleke white sands mkuu.sijafika bwana
😂😂😂😂😂 ila mshajifunza kuwa na umakini + uvumilivu Hazard CFC nakusalimia umemuona Hurrem?
Sikuhizi kapoa sijui kaachika
Hahahahah
Kiu ya Smirnoff rafiki...Uko na kiu kaka![]()