Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Nazidi kukuogoha imihalafu magari hayanioni wala hayanigongi
Okay then...Siwezi kukuongopea asilani trust me
Swali zuri.Dah kwahiyo JF ni ya wa aina gani?![]()
Asieee kabla sijashusha comment ngoja nidhibitishe kuwa huyu siyo msubhati kaja kivingine, yule sitamsahau kanidpndoshea mabusu na makopa kopa kumbe dume








Ndiwooo
Mshana ni mimi na mimi ni Mshana
Wallah na mimi nakuja mjini




Nione shingoNazidi kukuogoha imi
Asieee kabla sijashusha comment ngoja nidhibitishe kuwa huyu siyo msubhati kaja kivingine, yule sitamsahau kanidpndoshea mabusu na makopa kopa kumbe dume




watoto wa kaliDah kwahiyo JF ni ya wa aina gani?![]()
Picha iko pm kwakoNione shingo
haha hayaPicha iko pm kwako
Kaniacha baada ya kumtoa kimaisha
Mimi ni Mama wa watoto watatu, kabla ya kuoana na mume wangu nilikua na mwaaume mwingine ambaye tulikaa kwenye ndoa kwa miaka sita akafariki dunia, mimi nimemzidi mume wangu miaka mitatu, kabla ya kuoana tulikaa kwenye mahusiano kwa miezi sita, nilipoona nazidini nikaamua nimuambie kuwa anioe...www.jamiiforums.com