Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Safi inabidi uwe mjanja...kuna totoz moja hatari mie ndio bodaboda lake vipi nililete hapo sasa hivi?Tuliambiwa na jamaa yetu tusitaje majina. Nimewapa jina la marehemu 😄😄😄😄
nitapiga mtu shaba ya kichwaSemaa wee mwenzangu, hivi mtoto mkali km mie tukifika California anashangaa mie nabebwa na niggah m1 hao tunasepaaa, na venye nna swagga za kule watamshangaa huyu cuzooo mie kaniokota wapi, Au mie nimekutwa na nn nikaangukia kwa cuzoooo.
shougaaa unanivunja mbavu.
me nafahamu kunyoa cause niliishi kwenye kambi moja matata ya jesh nkajikuta najifunza kunyoa nafahamu vingi vingi tyu hadi kuska nafamCuzoooooh wee ni kinyozi?
Pombe chafuTwende Mopao tukalewa, usipolewa safari nitakumixia na double Kick…

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤭🤭🤭🤭🤭🤭nitapiga mtu shaba ya kichwa
Coca kwenye ile taraabu yako unayotalajia kutoa umepata mwenzio hapa afu yeye tutampeleka kwa KAGAMEHahahahaaaa!!! Watu wanapepea tu angani na bossi zao cuzoo hadi aunge unge ya saluni woooiiiih!!💃💃💃💃
Purukushani za ndugu zako wapenda shughuli.Kulikua na nn?
BodabodaSafi inabidi uwe mjanja...kuna totoz moja hatari mie ndio bodaboda lake vipi nililete hapo sasa hivi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😜😜😜 mnaniua mbavu na cuzooo wako mjuee 🤣🤣😂😂🤣🤣😅😅😅😅
fanya kuokoa tu.. 😄😄😄Safi inabidi uwe mjanja...kuna totoz moja hatari mie ndio bodaboda lake vipi nililete hapo sasa hivi?
Ah wapi kaka sie wetu ni form four B. Hawa pisi kali ndio kama hivyo unawapelelea sehwmu wageggeedwe baadae uwafuateBodaboda
Mnawatafuna sana
Pisi kali
Cuzooo ako ni noumaa sana kukunyoa yumoo kukusuka yukoooo wauweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehhhh 💃🤸😜😜😅😅😅😅🤣!!
Ana mtako huyo alafu ni anapiga miguu yote miwili mzeyafanya kuokoa tu.. 😄😄😄
mnaniua mbavu na cuzooo wako mjuee
![]()






kumbe alikua kambini jeshini, venye anasubiri ajira ya kuvaa gwanda.