Post M-alone
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 2,962
- 9,557
Ndio wapi tena mtoto mzuri.Naenda Faraghani.
Karibu.
Ndio wapi tena mtoto mzuri.Naenda Faraghani.
Karibu.
Duhhhhh!!Ushindweee!
Leo...
Na kesho...
Na jana....
Ushindwee !!!
Mjukuu endelea kumkazia hivyo hivyo. Nakuaminia
Yutongs forevaaaa
View attachment 2268969
I'm doing well msukuma najisikia nafuu kabisaUnajisikiaje Bosi Ledi?
Ushapona?
Hio noumaa sana hapo hadi uje kuiona mashine sasaCertified dereva wa malori makubwa ya masafa ya mbali![]()


!!Na amekaza hatariiii! Babu anajali wajukuu zake!Unaona babu anavyonikazia kwa mjukuu wake!!![]()
Hakukuwa na mambo mengi.View attachment 2268790Wazee wetu waliwezaje mpaka kufikia umri huu upendo upo🤷🏼♀️
Hii ni dumper.Ushindweee!
Leo...
Na kesho...
Na jana....
Ushindwee !!!
Mjukuu endelea kumkazia hivyo hivyo. Nakuaminia
Yutongs forevaaaa
View attachment 2268969
Afadhali...I'm doing well msukuma najisikia nafuu kabisa


Ameeeen msukuma shukrani sanaAfadhali...
Hebu na ukaimarike zaidi na zaidi na kuwa katika kilele cha afya yako![]()

Each to his own...Hii ni dumper.




Pole kwa lose ambayo umeipata mkuu wangu. Wataalamu wana sema;Ni hivi: mwaka jana nilifungua ki auxiliary account cha Crypto. Kimsingi nilimfungulia mtu fulani wa muhimu sana kwangu. Na lengo langu ilikuwa ni kumpa zawadi ya kiakaunti hiki siku chache kabla ya Krismasi ya mwaka huu ambapo pia ndo huwa birthday yake. Mi huwa siyo mhongaji mzuri wa rejareja na MO yangu mtu nikimwelewa huwa napenda nimfanyie kitu cha kudumu kitakachomsaidia katika maisha yake...No regrets!
Mpaka December hii kiakaunti hiki aisee kilikuwa kinafanya vyema mpaka kilikaribia $10K at some point....and from nowhere Crypto just nosedived....
Najua una trade Forex. Pengine hata kwenye Crypto umo. Nataka niabsorb losses nichukue kilicho changu tumalizane nikabidhi kilichopatikana (losses) kwa mwenyewe kabla ya muda au nitulie tu pengine market ita-bounce kufikia hiyo December.
Kama mzoefu; what is your advice? Bitcoin imekwenda mpaka below $20K na watu wamekula hasara hatari hasa ukizingatia kuwa majuzi tu hapa iligonga $65K
Ushauri wako pulizi
View attachment 2268965
Ukiyajulia rahisi sana Bosi Ledi (BL). Na sekunde nusu yalishafika yaendako...Tena upate lisafi linalojipenda yaani. Halafu mapole hatari...yaaniHio noumaa sana hapo hadi uje kuiona mashine sasa!!





yeah ni wapole sanaa!! Hahahaaa Hayanaga hekaheka kabisa mapemaaa!Ukiyajulia rahisi sana Bosi Ledi (BL). Na sekunde nusu yalishafika yaendako...Tena upate lisafi linalojipenda yaani. Halafu mapole hatari...yaani![]()

Dah!Missy Elliott & EVE.View attachment 2268868
Naam!Pole kwa lose ambayo umeipata mkuu wangu. Wataalamu wana sema;
"If you remember the "Never invest money that you can't afford to lose" rule and never violate it, you shouldn't have to worry about running out of funds during retirement. "
Kama ulifanya uwekezaji wa mda mrefu, nakushauri uiache hiyo pesa. Huna haja ya kuitoa



Tuliambiwa na jamaa yetu tusitaje majina. Nimewapa jina la marehemu 😄😄😄😄Naona mzeya unaburudika na view ya vyura vikiruka ruka kwenye maji.